Radio Tadio

Biashara

1 November 2023, 5:20 pm

Wananchi walia kutelekezwa eneo la stend Sengerema

Ikumbukwe kuwa kwenye mkutano wa Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mh. Senyi Ngaga uliofanyika katika eneo la ujenzi wa shule ya sekondari Nyampulukano mwezi Mei mwaka huu ,Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema Binuru Shekidele aliwaahidi wananachi kuwa stendi hiyo…

1 November 2023, 15:32

Serikali kuendelea kutatua changamoto za wafanyabiashara Kigoma

Wafanyabiashara wameomba serikali kuweka mazingira rafiki ili waweze kufanya vizuri katika kufanya baishara ndani na nje ya nchi. Na Lucas Hoha Serikali imewahakikishia wafanyabiashara wa mkoa wa Kigoma kuwa inaendelea kutatua changamoto na vikwazo vinavyowafanya kushindwa kufanya biashara ikiwemo kuboresha…

20 October 2023, 10:08 pm

Wanafunzi 300 wanufaika na program ya kilimo-viwanda scholarship

Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wanafunzi 300 wanaosomea kilimo katika vyuo Vinne vilivyo Chini ya programu inayojulikana kama Kilimo-Viwanda scholarship, wamenufaika na ufadhili wa masomo unaotolewa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) nchini Tanzania. Akiongea 19 Oktoba, 2023 wakati…

18 October 2023, 1:47 pm

TBS yasisitiza wadau kushiriki uandaaji wa viwango

Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania, TBS, Shirika la Viwango Zanzibar, ZBS pamoja na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), imeandaa tuzo za ubora za kitaifa awamu ya nne kwa 2023 kwa wajasiriamali, wazalishaji wa…

10 October 2023, 1:42 pm

TCB Bank yawapiga msasa wasitaafu Sengerema

Baadhi ya wastaafu wamekuwa na tabia ya kuoa vibinti vidogo baada ya kulipwa mafao yao jambo linalopelekea vifo vya mapema na kutoa laana kwa watoto wao nchini. Na Anna Elias Zaidi ya wastaafu 270 mjini Sengerema wamepatiwa mafunzo na benki…

27 September 2023, 4:22 pm

Usimamizi mbovu wapelekea biashara nyingi kufa

Usimamizi wa biashara nyingi umekuwa ni changamoto na sababu kubwa inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara hizo. Na Mindi Joseph. Usimamizi wa Biashara kwa wafanyabiasha imetajwa kuwa bado ni changamoto inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara. Hayo yamebainishwa…

22 September 2023, 5:17 pm

Serikali yaombwa kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara Bunda

Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya kufanya biashara hasa kwa wafanyabiashara waliopanga kwenye majengo ya Umma kama vile stendi na sokoni. Na Adelinus Banenwa. Wafanyabiashara kupitia TCCIA wameiomba serikali kuweka mazingira rafiki na wezeshi ya…

22 September 2023, 5:01 pm

Wafanyabiashara Pemba walalamikia kodi kubwa

Wafanyabiashara kisiwani Pemba wameiomba serikali kuwapunguzia kodi ili kuweza kunusuru biashara zao. Na Is-haka Mohammed. Wafanyabiashara kisiwani Pemba wamedai kuwepo kwa kodi kubwa kunatishia uhai wa biashara zao na kuiomba serikali kuangalia upya hali ya kodi wanazotoza ili kunusuru hali hiyo…

21 September 2023, 12:10 pm

Wajasiriamali waaswa kujitangaza kupitia maonesho ya Pangani.

Ni nafasi pekee kwa wajasiriamali kutambulika na mabenki na fursa ya kupata mikopo.   Na Mwandishi wetu. Wajasiriamali wameaswa kushiriki kwenye Maonesho ya Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Bomani katika Wilayani Pangani ili kutangaza biashara zao. Meneja wa Benki ya…