Radio Tadio

Biashara

8 September 2025, 09:38

Zitto Kabwe autaka ubunge Kigoma Mjini

Mgombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amewataka wapiga kura katika jimbo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu ili aweze kurudi bungeni kuwatumikia…

4 September 2025, 15:27

DC Kasulu ataka wananchi kushiriki kampeni za uchaguzi

Serikali imewataka wananchi Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma kushiriki katika uchaguzi na kuwapata viongozi wataoweza kuwasaidia kutatua changamoto zao Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amewataka wananachi wa Wilaya hiyo kushiriki…

3 September 2025, 20:28

Mwanamke atolewa uvimbe wa kilo 10 Iringa

Na Zainabu Mlimbila Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 10 uliokuwa unamsumbua mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 42 aliyeteseka kwa Zaidi ya miaki 5. Akizungumza mara baada ya kukamilika…

3 September 2025, 12:20

Wakristo watakiwa kuombea uchaguzi mkuu Kasulu

Wakati uchaguzi Mkuu ukitarajia kufanyika Oktoba 29, 2025, waumini wa kikristo wametakiwa kuendelea kuliombea amani Taifa ili uchaguzi ufanyike kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo Wilayani Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maombi…

1 September 2025, 13:31

Serukamba aahidi neema kwa wananchi Kigoma Kaskazini

Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini Peter Serukamba na Mgombea udiwani Kata ya Mungonya Agustino Mbanga wamesema watahakikisha wanatekeleza miradi ya maendeleo kwa wananchi wa Kata ya Mungomya ikiwemo barabara, maji na afya. Na Tresiphol Odace Bwana – Kigoma Wananchi…

20 August 2025, 16:08

Gamuye achukua fomu kugombea udiwani Mwilamvya

Wagombea waendelea kuchukua fomu za kugombea na kuahidi kushirikiana na wananchi Na HagaiRuyagila Wananchi wa Kata ya Mwilamvya, wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kudumisha umoja, mshikamano na kuachana na makundi ya kisiasa yanayoweza kusababisha migogoro, Badala yake wametakiwa kushirikiana katika…

15 August 2025, 5:04 pm

Wazazi, walezi waleeni watoto katika maadili

Mkuu wa dawati jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Tutengeneze ukaribu na watoto wetu kutawajengea usalama zaidi” Na Roda Elias Wazazi  katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ndoto za watoto ili ziweze kutimia.…

12 August 2025, 11:20

Maombi yanahitajika kuelekea uchaguzi mkuu Kasulu

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, wakristo wameaswa kuendelea kuombea uchaguzi huo ili uweze kufayika kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo katika Wilaya ya Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendelea kuliombea taifa la…

5 August 2025, 11:56

Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani Kigoma

Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, viongozi wa dini wametaikiwa kuendelea kuliombea Taifa amani na mshikamano Viongozi wa dini Mkoani Kigoma wametakiwa kuhubiri amani na kudumisha umoja na…

4 August 2025, 15:48

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata watakiwa kuwa waadilifu

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Mjini, Nurfus Aziz, amewatakiwa wasimamizi kuhakikisha vituo vya kupiga kura vinafunguliwa mapema kulingana na maelekezo ya tume huru ya taifa ya Uchaguzi Na Hagai Ruyagila Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata katika…