Radio Tadio

Biashara

29 November 2023, 17:56

Wakulima 200 Mbeya wapewa mafunzo ya mboga na matunda

Na Samwel Mpogole Zaidi ya wafanyabiashara na wakulima 200 wa mboga na matunda katika mikoa ya Songwe na Mbeya wamefuzu mafunzo ya ulasama wa chakula ambapo yamelenga kuongeza mnyororo wa thamani kupitia shughuli za uzalishaji . Mafunzo hayo yametolewa na…

27 November 2023, 15:33

Wajasiriamali mkoa wa Kigoma kujulikana kimataifa

Wajasiriamali wanaofanya shughuli za uokaji bidhaa manispaa ya Kigoma Ujiji wamekutana kwa ajili ya mafunzo maalum yaliyoandaliwa na Shirika la viwango  Tanzania TBS yenye lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao. Na, Josephine Kiravu. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa…

27 November 2023, 2:11 pm

Majengo waeleza kunufaika na mikopo

Uwepo wa Taasisi za kifedha zinazojihusisha na utoaji wa mikoo kwa wajasiliamali imechangia kukuza biashara zao na kupata kipato cha kuendesha familia. Na Khadija Ibrahim. Wafanyabiashara katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma wameeleza kunufaika kiuchumi kutokana na mikopo inayotolewa…

26 November 2023, 12:54 am

Wafanyabiashara kupatiwa mikopo ya bei nafuu

Kilio cha wafanyabiashara kupata mikopo kutoka benki na kutambulika kibiashara, sasa imepata ufumbuzi baada ya wao wenyewe kusimama kidete kutetea hilo. Na Daniel Magwina- Geita Viongozi Chemba ya wafanyabiashara mkoa wa Geita wameanza ziara ya kutembelea Taasisi za fedha mkoa…

16 November 2023, 3:28 pm

TCRA Zanzibar yahimiza matumizi ya leseni kidijitali

Picha ya meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA Zanzibar) Picha na Makame Pandu. “Matumizi sahihi ya hudma za kimtandao yataepusha makoza yanayojitokeza kwa watumiaji.” Na Makme Saplaya. Vijana wa mkoa Kaskazin Unguja wametakiwa kuwa wabunifu katika matumizi ya mitandao…

8 November 2023, 6:05 pm

Wizi waibuka soko la Machinga Complex Dodoma

Ni takribani mwaka mmoja sasa tangu kuzinduliwa  kufanya biashara kwa wamachinga ambapo awali walikuwa wakifanyia biashara katika maeneo ya katikati ya jiji la Dodoma. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko  la Machinga Complex jijini Dodoma wamelalamikia tabia ya…

3 November 2023, 16:39

Watu wasiojulikana wavunja vibanda 13 vya biashara manispaa ya Kigoma

Kubomolewa kwa vibanda hivyo kunatajwa kuwarudisha nyuma wafanyabiashara wakubwa na wadogo kwani ndio sehemu pekee walitegeme kujipatia kipato. Na Emmanuel Matinde Watu wasiojulikana wanaokisiwa idadi yao kuwa ishirini wamevunja kuta za vibanda vya biashara 13 kati ya 25 vinavyojengwa katika…