Biashara
11 July 2025, 16:04
Wenye ulemavu waiomba Tanzania kusaini mkataba wa Afrika ADP
Nchi ambazo zimesaini Mkataba wa Afrika Kuhusu Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol, ADP),ambao umeanza kutumika rasmi tangu Mei 2024 ni Angola, Burundi,Cameroon, Congo Brazzaville, Kenya, Mali, Malawi, Msumbiji, Namibia, Niger, Nigeria, Rwanda, Afrika Kusini, Uganda, na Zimbambwe.…
3 July 2025, 20:25
Vigogo wa migodi waenguliwa kwenye nafasi zao Simiyu
“Hatuwezi kufikia malengo kwa sitaili hii lazima tuheshimiane kwa kuzingatia sheria,miongozo na miiko ya kazi hivyo lazima katika safari ya mafanikio kuna watu tunapaswa tuachane nao kabisa ili safari hii iweze kwenda mbele kwa kasi tunayotakiwa ili kufikia malengo ya…
3 July 2025, 10:57
Mila, desturi kikwazo kwa wanawake kuwania uongozi
Katika jamii nyingi, mila na desturi zimekuwa nguzo muhimu zinazotambulisha utamaduni na urithi jamii husika. Hata hivyo, mila hizo zimekuwa pia kikwazo kikubwa kwa wanawake wengi, hasa linapokuja suala la uongozi ambapo zimekuwa zikiwanyima wanawake nafasi ya kushiriki kikamilifu katika…
21 June 2025, 12:01
Kipindi: NEMC Kanda ya Kusini yaelimisha jamii matumizi mifuko ya plastiki
Hii ilikuwa sehemu ya kipindi kilichofanyika redioni kuelekea maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani ambapo NEMC iliwasihi wananchi kutumia vifungashio vinavyokubalika kisheria ili kulinda mazingira, huku ikiendelea kutoa elimu kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na umuhimu wa utunzaji wa…
18 June 2025, 15:36
Wakristo waaswa kushiriki na kuombea uchaguzi
Kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi oktoba mwaka huu, Wakristo wametakiwa kuendelea kuombea amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo wametakiwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa kuchukua fomu za kugombea nafasi…
26 May 2025, 16:32
Viongozi wa dini wahimizwa kuhubiri amani Nchini
Viongozi wa dini Nchini wamehimizwa kuendelea kuliombea Taifa hasa kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu. Na Josephinr Kiravu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini Kutumia majukwaa yao kuhimiza amani ikiwa ni pamoja na kusisitiza wananchi kushiriki katika…
26 May 2025, 16:18
Watakiwa kuliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu
Wakati Taifa likeelekea katika uchaguzi Mkuu, wakristo wameaswa kuendelea kuombea amani Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa kuelekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi ocktoba mwaka huu ili ufanyike kwa amani na…
21 May 2025, 16:02
Katakata ya umeme Simiyu yawaibua wananchi
‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…
15 May 2025, 15:52
Baraza la madiwani lampongeza Rais Samia kwa uongozi wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa pongezi na kuchangiwa fedha kwa ajili kuchukua fomu ya kugombea Urais baada ya kazi yake iliyotukuka katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani…
12 May 2025, 12:54
Askofu Joseph Mlola ahimiza amani, kuliombea Taifa
Viongozi wa dini na jamii wameaswa kuliombea Taifa dhidi ya matukio yanaendelea kwenye jamii ambayo yanaweza kuleta uvunjifu wa amani. Na Tryphone Odace Askofu wa Jimbo Katoliki la Kigoma Joseph Mlola amewataka waumini wa kanisa hilo na watanzania kwa ujumla…