Biashara
19 September 2023, 5:18 pm
Wafanyabiashara Majengo wapongeza kuimarika kwa usafi
Usafi katika Soko hilo umesaidia kuendelea kuepukana na Magonjwa mbalimbali ya Mlipuko yatokanayo na uchafu. Na Mindi Joseph.Wafanyabiashara katika soko kuu la Majengo wamesema hali ya usafi imeimarika katika soko hilo kufuatia kuwepo kwa eneo maalum la kuweka takataka. Baadhi…
14 September 2023, 16:58
Madiwani Kibondo walia na wafanyabiashara wanaoficha mafuta
Wakati wananchi na watumiaji wa vyombo vya moto Nchi wakiendelea kuteseka na uhaba wa mafuta kwenye vituo vya mafuta huko Kibondo madiwa wameeleza kuwa wanaoficha mafuta ni uhujumu uchumi. Na, James Jovin Madiwani katika halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani…
13 September 2023, 13:07
Wafanyabiashara watakiwa kutoa stakabadhi za EFDs Kigoma
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara kuendelea kutoa stakabadhi za EFD kwa mujibu wa sheria ili serikali iweze kupata mapato kwa maendeleo ya nchi. Na, Lucas Hoha. Wafanyabiashara mkoani Kigoma wameaswa kutoa stakabadhi (risiti) za mashine ya kielektroniki EFD…
12 September 2023, 12:39
Wafanyabiashara Mbeya walalamika kuhusu watoza ushuru
kwa taarifa kamili na mwandishi wetu catherine ngobora …..
11 September 2023, 17:01
DC Mbeya awatoa hofu wananchi uhaba wa mafuta
Kumekuwa na hofu kubwa kwa watanzania juu ya uhaba wa mafuta nchini ,hofu kubwa kupanda kwa bei ya nauli endapo kutakuwa na na uhaba wa mafuta nchini by samweli mpogole Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mh Beno Malisa amewatoa hofu…
4 September 2023, 10:20 am
ASAS akubali kuwa Mlezi wa Machinga
Na Frank Leonard MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa mlezi na mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA). Katika tukio hilo lililofanyika katika soko la…
25 August 2023, 9:08 am
Bei ya nafaka yapanda Geita
Kupanda kwa bei ya nafaka imechangia kupungua kwa kasi ya biashara katika soko la Nyankumbu mjini Geita.Na Adelina Ukugani- Geita Wafanyabiashara wa nafaka katika soko la asubuhi la Nyankumbu mjini Geita wamelalamikia kupanda kwa bei ya mazao hayo hali inayochangia…
21 August 2023, 4:04 pm
Masoko ya nje chanzo tikiti maji kuadimika nchini
Tunda la tikiti ni moja kati ya matunda muhimu sana katika afya ya mwanadamu kutokana na madini yaliyo ndani yake kama vile Calcium na vitamin A. Na Neema Shirima. Baadhi ya wafanyabiashara wa tunda la tikiti maji katika soko kuu …
18 August 2023, 3:56 pm
Wafanyabiashara watakiwa kuhama pembezoni mwa barabara Zanzibar
Mkuu wa wilaya ya Magharibi B Hamida Mussa Khamis, amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wakiwemo wa matunda na mbogamboga kwenda kufanya biashara zao katika masoko ya muda yaliyopangwa na serikali ikiwemo Kwerekwe C, Kwerekwe Sheli pamoja na Soko la Jumbi. Na…
17 August 2023, 4:19 pm
Bei ya maharage yazidi kupaa sokoni
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilibainisha bei ya mazao ya chakula ikiwemo maharage imepungua kutoka asilimia 33.5 hadi asilimia 28.3 kwa mwaka ulioshia mwezi Julai 2023 ikilinganishwa na mwaka ulioshia mwezi Juni…