Radio Tadio

Biashara

28 July 2023, 15:40

Wilaya ya Kibondo yaanza kuwasajili wafanyabiashara wa mazao

Wafanyabiashara wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kurasimisha taarifa za biashara za mazao wanazofanya ili waweze kutambulika na Wizara ya Kilimo Na, Tryphone Odace Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeanza zoezi la usajili wa wafanyabiashara wa mazao na wenye…

25 July 2023, 1:26 pm

Wawekezaji wazidi kuongezeka Dodoma

Watu mbalimbali wanakaribishwa kuwekeza katika jiji la Dodoma kwani kuna fursa mbalimbali za uwekezaji. Na Thadei Tesha. Kufuatia kukua kwa jiji la Dodoma pamoja na ongezeko la watu kumepelekea wawekezaji mbalimbali kupata fursa ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya mkoa…

18 July 2023, 6:30 pm

Wananchi waeleza umuhimu na faida za vikundi

Baada ya kuwepo kwa mfululizo wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kujiunga katika vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa sasa wananchi wameelewa umuhimu wa vikundi hivyo . Na Aisha Shaban. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameeleza juu ya…

18 July 2023, 11:23

Wananchi wametakiwa kununua vipodozi kwenye maduka yaliyoruhusiwa

Shirika la viwango Tanzania TBS limesema litaendelea kuwachukulia hatua wafanyabiashara wanaouza bidha zilizopigwa marufuku ili kuepusha matumizi ya vipodozi visivyokidhi viwango kutumika kwa wananchi. Na, Lucas Hoha Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kununua vipodozi kwenye maduka ambayo yameruhusiwa na wahakikishe kama…

12 July 2023, 2:45 pm

Bei ya vitunguu maji yazidi kupanda  

Wastani wa bei ya vitunguu maji katika masoko mbalimbali ya jiji la Dodoma ni kati ya shilingi 10000 kwa ujazo wa sado moja na shilingi laki tatu na elfu ishirini kwa ujazo wa gunia moja. Na Thadei Tesha. Wakazi wa…

10 July 2023, 7:20 pm

Vibaka wabomoa ghala la chakula Mbogwe

Wezi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita bado ni changamoto huku uongozi katika ngazi mbalimbali ukiendelea kushirikiana na wananchi kwa ukaribu ili kutokomeza vitendo hivyo. Nicolaus Lyankando- Geita Kundi la watu ambao hawakufahamika wamebomoa ghala la chakula na kuiba magunia ya…

10 July 2023, 4:49 pm

Biashara ya tangawizi, vitunguu swaumu yadoda Dodoma

Kwa sasa miongoni mwa viungo vinavyoonekena kushamiri katika masoko mbalimbali jijini Dodoma ni pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi ambapo wengi wa wafanyabiashara hao wanasema kuwa msimu wa bidhaa hizo ni sasa kutoka mashambani. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara…

7 July 2023, 6:12 pm

Msimu wa mavuno, bei ya mchele yashuka sokoni

Kwa sasa wastani wa bei ya mchele sokoni ni kati ya shilingi 2,300, 2,500 na kuendelea ambapo hapo awali ilikuwa kati ya shilingi 3,000, 3,500 na kuendelea na kwa mujibu wa wafanyabiashara wanasema kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo kumetokana…

7 July 2023, 5:27 pm

Wafanyabiashara Dodoma watakiwa kwenda maeneo waliyotengewa

Mara kadhaa Dodoma Tv imeshuhudia baadhi ya wafanyabiashara wakilalamikia mgambo wa jiji kuwafukuza katika maeneo ambayo wamekatazwa kufanya biashara ambapo mara kadhaa halmashauri ya jiji imekuwa ikiwataka kuhamia katika maeneo waliyopangiwa. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wanaofanya biashara katika eneo lilopo…

7 July 2023, 10:32

Dkt Mpango: Serikali imeweka mazingira rafiki kwa wawekezaji

Wananchi wazawa wa Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuwekeza katika miradi mbalimbali mkoani humo ili kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla. Na, Emmanuel Kamangu Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango amewataka watanzania kutumia fursa ya kufanya uwekezaji katika maeneo…