Biashara
25 November 2024, 14:27
Askofu Mlola awataka vijana kukemea rushwa Kigoma
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma Mhashamu Joseph Mlola amewataka vijana kuwa mstari mbele kukemea vitendo vya rushwa kwenye jamii hasa kipindi hiki cha uchaguzi wa Serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu Vijana mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanakemea ruswa…
21 November 2024, 12:54
Mkandarasi akabidhiwa mkataba, ramani ya soko la Mwanga Kigoma
Mkandarasi anayetajaiwa kujenga soko la mwanga na mwalo wa Katonga Manispaa ya Kigoma Ujiji ametakiwa kuanza ujenzi wa miradi hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Kisena…
21 November 2024, 10:04
CCM walia na migogoro ya ardhi, umeme Kigoma
Wakati kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zikiwa zimenduliwa rasmi, viongozi wa chama cha mapinduzi wameomba serikali kuaidia kutatua changamoto za ukosefu wa umeme na migogoro ya ardhi. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Serikali kupitia chama cha mapinduzi ccm…
21 November 2024, 09:36
Serikali yatenga fedha utatuzi wa changamoto ya umeme Kigoma
Serikali imesema tayari imekwisha tenga fedha za kuhakikisha inatatua changamoto zaukosefu wa umeme kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma ili kuhakikisha umeme wa uhakika unakuwepo kupitia gridi ya Taifa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano…
15 November 2024, 15:00
DC Kasulu awafunda madiwani kuelekea uchaguzi
Zikiwa zimebaikia siku 12 kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mkuu wa wilaya ya kasulu kanal Isack mwakisu amewataka madiwani wilayani humo kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi wajitokeze kuwachagua viongozi wao. Kanal mwakisu amesema hayo katika mkutano…
8 November 2024, 16:00
Maswa:Kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira
“Wakati dunia inapambana na mabadiliko ya tabia nchi utokanao na uharibifu wa mazingira haswa katika matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kanda ya ziwa kinara kwa uharibifu wa mazingira”. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya hekta laki nne hupotea nchini…
7 November 2024, 11:08
Maswa: Wanawake na Samia waaswa kutumia nishati safi yakupikia
Matumizi ya nishati safi yakupikia inatajwa kuwa ni mwarobaini wa kukabiliana na uharibifu wa mazingira,huku ikitajwa kuwanufaisha wanawake Mkoani Simiyu kwakuokoa gharama,muda na maradhi yanayotokana na matumizi ya mkaa na kuni Na,Alex Sayi Wanawake na Samia mkoani Simiyu wameaswa kuunga…
31 October 2024, 3:01 pm
CCM Nyasura wawapamba wagombea kurejesha fomu
Mwenyekiti wa CCM kata ya Nyasura asema makundi yote yaliyokuwepo kwenye kura za maoni yalishavunjwa awataka wanachama kujitokeza kwenye mikutano na kupiga kura atoa rai kwa vyama vya siasa kufanya kampeini za kistaarabu. Na Adelinus Banenwa Waliochukua fomu za kugombea…
29 October 2024, 12:15 am
Harambee ya Ujenzi wa nyumba ya Mapadri Engaruka yakuzanya zaidi ya Milioni 13.
Zaidi ya Shilingi milion kumi na tatu (13) na mifuko 9 ya saruji zimepatikana katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mapadri Kanisa la Katoliki Kigango cha Engaruka, Parokia ya Mtakatifu Yuda Thadei Mto wa Mbu wilayani Monduli. Na…
8 October 2024, 15:53
Michango hafifu ya chakula yatajwa kuathiri ujifunzaji wa watoto kitaaluma
Walimu wawaangukia wazazi michango ya chakula shuleni Na Hamis Makungu Michango hafifu ya chakula kwa wanafunzi shuleni na mahudhurio madogo ya wazazi na walezi katika vikao shuleni, kunatajwa kuathiri ujufunzaji wa watoto kitaaluma. Ameyasema hayo Mwalimu Mkuu wa Shule ya…