Biashara
25 Mei 2024, 15:22
RC Mtwara, wananchi wafanya usafi
Wananchi wengi wameonesha kufurahishwa kwa kitendo cha viongozi wa serikali ya mkoa na wilaya ya Mtwara kuungana nao katika zoezi zima la usafi na wengi wao wakisema kuwa watakuwa na mwendelezo wa zoezi hilo majumbani mwao Na Musa Mtepa Mkuu…
11 Mei 2024, 14:30
Makala: Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri upatikanaji wa samaki mkoani M…
Na Musa Mtepa Makala hii inachunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye mazingira na maisha ya samaki katika Mkoa wa Mtwara. Inatilia maanani jinsi mabadiliko haya yanavyoweza kusababisha mabadiliko ya nchi kimaumbile, kibiolojia, na kijamii. Mabadiliko kama vile ongezeko la…
25 Januari 2024, 16:23
Wapiga ramli chonganishi kukamatwa Kigoma
Wakuu wa Wilaya za Buhigwe na Kigoma wameagiza kukamatwa mara moja watu wote wanaojihusisha na Ramli Chonganishi maarufu kama Kamchape au Rambaramba, Wanaodaiwa Kupiga Ramli za chonganishi kwenye jamii. Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti zaidi.
25 Januari 2024, 16:12
Wafanyabiashara walia na mpangilio mbovu wa masoko Kigoma
Wafanyabiashara katika manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia mpangilio mbovu wa masoko ya kufanyia biashara, hali inayozorotesha uchumi na kushidwa kulipa Kodi baada ya Kuvunjwa soko la Mwanga na kuanzishwa masoko pasipokuwa na mkakati maalumu wa kuyaendeleza. Kadislaus Ezekiel na Taarifa…
24 Januari 2024, 23:55
Wafanyabiashara wa Mchele Bahi walia kukosa soko la uhakika
Mamlaka zinazohusika na suala hili zinatakiwa kuharakkisha upatikanaji wa huduma ya soko ili wakulima wa mpunga waweze kuuza mchele badala ya kuuza mpunga ambao wanaeleza kuwa faida yake ni ndogo. Na Bernad Magawa. kukosekana kwa soko la uhakika la mchele…
22 Januari 2024, 09:49
Halmashauri ya wilaya Kasulu yakusanya zaidi ya bilioni 19
Madiwani wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kusimamia na kuibua vyanzo vya mapato ili kusaidia kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekusanya zaidi ya shillingi billion 19 ambayo ni…
22 Januari 2024, 09:20
TRA Kasulu yashindwa kufikia malengo
Mamlaka ya mapato Tanzania TRA wilaya ya Kasulu mkoani kigoma imeshindwa kufikia lengo la ukusanyaji mapato katika kipindi cha mwezi julai hadi Desemba 2023 ikiwa ni nusu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na, Hagai Ruyagila Akitoa taarifa katika…
4 Januari 2024, 16:42
Bei ya sare na vifaa vya shule yapaa
katika soko la machinga complex bidhaa zinazoonekana kushamiri ni pamoja na sare za shule kama mashati, sweta za shule madaftari pamoja na viatu vya shule. Na Thadei Tesha.Wakati wanafunzi wakijiandaa kufungua shule kwa ajili ya kuanza masomo yao kwa mwezi…
19 Disemba 2023, 06:41
Wafanyabiashara wakiri biashara kuwa ngumu msimu huu wa sikukuu
Watu wanashauriwa kufanya maandalizi mapema ya mahitaji kwa ajili ya kipindi cha sikuku ili kuepuka uwepo wa changamoto mbalimbali ikiwemo bidhaa kupanda bei. Na Aisha Alim. Wafanyabiashara wa nguo pamoja na mapambo ya christmas katika eneo la one way Jijini…
14 Disemba 2023, 16:19
Wafanyabiashara soko la Gungu walia na ukosefu wa miundombinu bora
Serikali imeombwa kukarabati miundombinu ya barabara na mitaro inayopita katika soko la Gungu Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Na Orida Sayon. Wafanyabiashara wa soko la Gungu lililoko kata ya gungu maniapaa ya kigoma ujiji wameitaka serikali kuboresha miundombinu ya…