Radio Tadio

Biashara

1 June 2023, 10:05 am

Wafanyabiashara Shanwe kuneemeka na soko jipya

MPANDA Wafanya biashara wa mtaa wa Shanwe kata ya Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wanatarajia kuanza kufanya biashara Juni mosi katika soko jipya, baada ya kupewa viwanja katika eneo la soko ililokuwa limetengwa kwa muda mrefu. Wakizungumza na Mpanda…

30 May 2023, 4:29 pm

Wananchi waomba maboresho soko la kimataifa Kibaigwa

Soko la kimataifa la Kibaigwa ni utambulisho wa wilaya ya Kongwa kimataifa hivyo lazima litunzwe kama chanzo cha mapato. Na Bernadetha Mwakilabi. Wafanyabiashara wadogowadogo katika soko la mazao la kimataifa la Kibaigwa wilayani Kongwa wameiomba serikali kufanya maboresho ya kisasa…

12 May 2023, 18:00 pm

Brela yawapiga msasa maafisa biashara mikoa 10

Na Msafiri Kipila Wakala wa leseni za biashara Brela wameendesha mafunzo ya siku 3 kwa maafisa biashara wa mikoa 10 ya kanda ya kusini na nyanda za juu kusini, yamefanyika hapa mkoani Mtwara lengo ikiwa ni kutatua changamoto zinazo wakabili.Wakizungumza…

8 May 2023, 4:54 pm

Bei ya kabichi shambani yawaliza wafanyabiashara

kwa sasa wastani wa bei ya kabichi ni kuanzia shilingi 1500 hadi 2000 huku wachache wakiuza kwa bei kati ya shilingi 1000 hadi 1500 kwa kabichi moja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa Mboga mboga aina ya kabichi Jijini…

5 May 2023, 4:38 pm

Wafanyabishara Maisha plus waiomba serikali kufanya ukarabati

Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa  viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga  katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…