Biashara
05/05/2023, 11:57 am
“Wafanyabiashara wa Mafuta ya mawese zingatieni matumizi sahihi ya vipimo&…
Na glory Kusaga Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma hususani wauzaji wa Mafuta ya mawese wameaswa kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo na kuacha kutumia kipimo cha bidoo kwani siyo kipimo sahihi na kinafanya Serikali kushindwa kukusanya kodi kwa usahihi na kufanya…
4 May 2023, 8:42 am
Wajasiriamali zaidi ya 100 wapata hasara.
Na Kale Chongela: Zaidi ya Wajasiriamali 100 waliopo njia panda mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilaya ya Geita na mkoani Geita wameacha biashara hiyo kutokana na mzunguko kuwa mdogo. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa umoja wa wajasiriamali waliopo katika…
28 April 2023, 4:52 pm
Wafanyabiashara Soko kuu Majengo kutembelea hospitali ya Mkoa wa Dodoma
Amesema kutoa mahitaji kwa wagonjwa ni moja ya njia sahihi ya kurudisha fadhila kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara katika soko kuu Majengo jijini Dodoma wanatarajia kutembelea na kutoa mchango wa vyakula kwa wagonjwa katika…
27 April 2023, 6:42 pm
Wajasiriamali waeleza kunufaika na wiki ya ubunifu
Katika maenesho hayo dodoma tv imeshuhudia bidhaa mbalimbali ambazo zimebuniwa na wajasiriamali pamoja na wanafunzi wabunifu kutoka katika tasisi mbalimbali ambapo wanatumia fursa hiyo katika kuzionyesha kwa jamii katika maonesh ya wiki ya ubunifu maarufu kama MAKISATU. Na Thadei Tesha.…
25 April 2023, 2:23 pm
Wafanyabishara walia na bei ya viazi mbatata
Kwa sasa wastani wa bei ya viazi mbatata ni kati ya shilingi 90000 kutoka wastani wa shilingi 60000-70000 kwa gunia. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko kuu la majengo jijini Dodoma wameelezea namna wanavyoathirika kutokana na kupanda kwa…
25 April 2023, 12:43 pm
Wahitimu wa mafunzo SIDO watakiwa kuzalisha bidhaa bora
Awali kulitanguliwa na mafunzo y utengenezaji Sabuni na Batiki kama anavyobainisha Mkufunzi wa mafunzo hayo. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wahitimu 350 wa mafunzo ya usindikaji wa Vyakula na matunda wamehitimu mafunzo hayo yanayotolewa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo…
24 April 2023, 2:26 pm
Wananchi waomba kupatiwa elimu ya uwekezaji
Mara kadhaa vijana wamekuwa wakilalamikia kukosa fursa za kujikwamua kiuchumi ambapo moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa elimu juu ya kuzitambua fursa hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu zaidi kwa wananchi juu…
19 April 2023, 5:42 pm
Wafanyabiashara wa mbogamboga walalamika bishara ngumu
Hii inafuati msimu wa mvua za mazika ambazo zimekoma hivi karibuni Mkoani hapa hivyo watu wengi wenye maeneo wameotesha mbogamboga mbalimbali na kuzipa kisogo mbogamboga za sokoni. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa mbogamboga wamelalamikia kudorola kwa soko la mboga hizo…
12 April 2023, 7:39 pm
TCCIA Kilombero inaenda kwa kusua sua
Wanachama wetu wanataka chama kiwasaidie na sio wakisaidie chama,wakipata fursa ya mikopo na wakamaliza mikopo hawaoni tena umuhimu wa chama,kwani wanachama wengi wakitatuliwa matatizo yao hawaonekani tena kwenye chama-Samson Ngwila Na Elias Maganga Wanachama wa Chama cha wafanyabiashara ,wenye viwanda…
5 April 2023, 12:10 pm
Makala fupi kuhusu bei za bidhaa katika kipindi cha Mwezi wa Ramadhani
Wafanyabiashara Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya bidhaa za vyakula katika kipindi kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani haijapanda ila kuna changamoto ya ukosefu wa wateja. Na Bertina Chambila