Biashara
15 August 2023, 5:44 pm
Wafanyabiashara Sabasaba walalamika kusumbuliwa
Ikumbukwe kuwa kituo cha daladala katika soko hilo kilihamishiwa katika soko la Machinga complex lililopo Bahi road Jijini Dodoma. Wafanyabishara katika eneo la sabasaba wamelalamika kusumbuliwa na baadhi ya watu wanao dai kupewa eneo hilo kwaajili ya kuuzia nguo za…
12 August 2023, 8:57 am
Machinga Iringa warejea soko la Mlandege
Na Frank Leonard MKUU wa Mkoa wa Iringa, Halima Dendego ameunda kamati itakayoanza leo kushughulikia changamoto mbalimbali za Wamachinga, hatua inayolenga kuyapa nguvu makubaliano yanayowataka wafanyabiashara hao wadogo wa mjini Iringa kurejea katika soko lao la Mlandege. Kamati hiyo inayojumuisha…
9 August 2023, 1:03 pm
Kilio cha kupanda bei ya mafuta chawafikia abiria
Mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Agosti 2023 yamechagiza waendesha vyombo vya moto mjini Geita kuongeza bei kiholela. Na Zubeda Handish- Geita Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamezungumzia juu ya kadhia wanayokumbana nayo kwa waendesha vyombo vya usafiri ya…
8 August 2023, 5:06 pm
Wajasiriamali waeleza kunufaika na elimu ya biashara
Shirika la Wanawake na Uchumi wa Viwanda Wauvi limekuwa mnyororo wa kuwakutanisha wajasiriamali mbalimbali na kuwapa elimu juu ya ujasiriamali na namna ya kukabiliana na masoko ya kiuchumi. Na Yussuph Hassan.Wajasiriamali kutoka maeneo mbalimbali Dodoma wanajivunia mafanikio mbalimbali kupitia elimu…
7 August 2023, 10:30 am
Baraza la Mji Kaskazini A kupunguza msongamano wa wafanyabiashara Soko la Kinya…
Ujenzi wa masoko unavyochangia kuondoa msongamano wa wafanyabiashara katika nchi yetu. Na Juma Haji Juma Baraza la mji Wilaya ya kaskazini A Unguja linakusudia kuondosha msongomano wa wafanyabiashara wa soko la kinyasini kwa kujenga masoko mawili makubwa yatakayotoa fursa kwa…
2 August 2023, 1:50 pm
Waendesha vyombo vya moto walia ongezeko bei ya mafuta
Siku chache zilizopita ilitokea changamoto ya uhaba wa mafuta ya petroli na dizeli mkoani Geita na Tanzania, licha ya Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba kuthibitishiwa kuwepo kwa mafuta ya kutosha kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta nchini. Na Zubeda Handrish-…
2 August 2023, 1:36 pm
Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo
Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…
2 August 2023, 9:13 am
Wachimbaji watakiwa kuacha kutunza fedha kwenye mabegi
Baadhi ya wachimbaji wadogo wamekuwa na utamaduni wa kuweka pesa ndani, jambo linalotishia usalama wa fedha zao na fursa hiyo kutumiwa na benki ya TCB huku ikija na mpango wa mikopo nafuu kwa wachimbaji. Serikali mkoani Geita imewataka wachimbaji wadogo…
31 July 2023, 15:32
Serikali yatakiwa kumsimamia mkandarasi bandari ziwa Tanganyika
Serikali imetakiwa kumsimamia mkandarasi anayejenga mradi wa bandari ya ziwa Tanganyika ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa. Na, Tryphone Odace Wananchi mkoani Kigoma pamoja na wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa katika nchi jirani, wameiomba serikali kumsimamia mkandarasi anayejenga miradi ya bandari katika ziwa…
28 July 2023, 15:40
Wilaya ya Kibondo yaanza kuwasajili wafanyabiashara wa mazao
Wafanyabiashara wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kurasimisha taarifa za biashara za mazao wanazofanya ili waweze kutambulika na Wizara ya Kilimo Na, Tryphone Odace Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeanza zoezi la usajili wa wafanyabiashara wa mazao na wenye…