Recent posts
8 May 2026, 11:17
Ongezeni jitihada kwenye masomo ili kupata ufaulu mzuri
Na Mwanahawa Hassan. Mstahiki meya wa Baraza la Manispaa kaskazini “A” Unguja Nyange Kheir ambae pia ni diwani wa wadi ya Gamba amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii ili kutimiza malengo yao. Ameyasema hayo wakati wa sherehe ya mahafali ya kuwazawadia…
6 May 2026, 10:12
Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo
“Ikiwa mnahitaji kupata maendelo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
16 March 2026, 15:34
Elimu ya ufugaji nyuki yatolewa Tumbatu
“Miradi mingi imekua ikianzishwa lakini kutokana na utekelezaji usioridhisha imekuwa haileti matunda hivyo nilazima muwe wakwanza kubadilika pia makundi mnayoyaongoza muyafikie na mkae kwa pamoja ili mpangilie vizuri namna ya kutekeleza mradi huu” Na Vuai Juma. Kamati za uvuvi na…
13 March 2026, 10:30
Kalamu zenu zitumike kuwatetea watu waishio vijijini
“Wajibu wenu kwa wananchi ni kuweza kufanya utafiti kwalengo la kugundua changamoto mbali mbali zinazoikumba jamii hasa maeneo ya vijijini ili kuzisema na kupatiwa ufumbuzi” Na Vuai Juma. Vyombo vya Habari vimetakiwa kufanya utetezi kwa makundi ya kinamama vijana na…
9 March 2026, 14:14
Toweni msada wa kisheria ili muondoshe migogoro.
“Ikiwa mtawasaidia wananchi kuelewa masuala ya kisheria wataweza kufahamu haki na wajibu wao jambo ambalo litachochoe kupunguza malalamiko wakati wa kufuatilia kesi zao” Na Vuai Juma. Wasaidizi wa sheria nchini wamehimizwa kuwasaidia wananchi katika masuala ya sheria ili kuondoa mapungufu…
3 March 2026, 17:43
ZRA yatoa sadaka ya ftari kwa kaya 130 za Tumbatu
“ZRA imekua na tabia ya kurejesha kwa jamii fungu linalotokana na kodi za wananchi ili kuona kwa kiasi gani wananufaika na kodi ambazo wanalipa kwa serikali” Na Juma Haji. Ujumbe wa Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA umefika Kisiwani Tumbatu na…
3 March 2026, 10:43
Jeshi la polisi lajipanga kudhibiti udhalilishaji kisiwani Tumbatu
“Kunahaja ya kuleta walimu wa usalama wetu kwanza kwaajili ya kutoa elimu kuhusu udhalilishaji kwa shule za Tumbatu ili kuwanusuru watoto na janga hili matukio mengi yamekua yakitokeza ingawa hayaripotiwi” Na Vuai Juma. Dawati la jinsia na watoto Mkoa wa…
21 February 2026, 09:36
Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja
” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…
19 February 2026, 10:50
Kampeni za uchaguzi wa Mabaraza ya vijana Zanzibar zimeanza leo rasmin
Picha ya wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi kwenye uchaguzi wa baraza la vijana Shehia ya Tumbatu Uvivini wakiwa katika uzinduzi wa kampeni. Picha na Juma Haji . “kwa kuwa uchaguzi huu unahusu kundi la vijana pekee hakikisheni mnawafikia…
13 February 2026, 18:38
Watendaji wa shirika la posta Zanzibar wapewa nyenzo
Ikiwa tutaimarisha mfumo wa kutoa vifaa kwa wafanya kazi kila baada ya muda ninjia pekee ya kuimarisha uwajibikaji kwa watendaji” Na Juma Haji. Waziri wa Wizara ya mawasiliano teknolojia, habari na ubunifu Zanzibar Mudrik Ramadhan Soraga amesema azma ya Serikali…