28 September 2021, 2:11 pm

Kaskazini Unguja yashauriwa kupinga vitendo vya udhalilishaji

Uingijaji wa wageni kiholela ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja ndio chanzo cha kuwepo Utelekezaji wa familia. Na Vuai Juma. Serekali ya mkoa wa kaskazini unguja imeshauriwa kuweka mikakati Madhubuti kwa wageni wanaoingia katika  maeneo ya mkoa huo ili kuondoa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

3 October 2024, 8:03 am

SMZ yafungua shamba jipya la uchotaji wa mchanga

Picha ya Waziri wa Maji, Nishati na Madini Shaibu Hassan Kaduara (alievalia shati jeusi) akiwa katika kikao na wandishi wa habari kuhusu ufunguzi wa eneo jipya la uchotaji wa mchanga. Na Latifa Ali. “Nivyema kuweza kufuata vifaa vya ujenzi kama…

2 October 2024, 10:15 am

Kikobweni yakabiliwa na changamoto mbalimbali

Picha ya Mbunge wa Jimbo la Donge Juma Usonge (aliyevaa koti jeusi na kofia) akiwa katika mkutano wa kusikiliza kero za wananchi wa shehia ya Kikobweni. Na Latifa Ali. “Viongozi wanapaswa kuwa mstari wa mbele kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wao…

2 October 2024, 9:58 am

Hotuba ya Rais wa Zazibar katika sherehe ya maulid kisiwani Tumbatu

Na Mtumwa Mussa. “Ili taifa liweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima wananchi wake wadumishe amani na utulivu kwani ndio ngao pekee ya kufikia hatua hiyo” ni kauli ya rais wa zanzibar dokta Hussein Ali Mwinyi wakati akiwahutubia wananchi wa Tumbatu…

2 October 2024, 8:36 am

Tujifunzeni lugha ya alama tuwasaidie watu wenye uziwi

Na Vuai Juma. “Upo umuhimu mkubwa wa kujifnza lugha ya alama ambayo ndio kiunganishi kikubwa kwa watu wenye ulemavu wa uziwi”. Na Vuai Juma. Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Harusi Said Suleiman,  amesema serikali ya…

13 July 2024, 8:19 am

Tutetee haki za watoto tuwalinde na ukiukwaji wa haki za binadamu

Ni wajibu wa jamii kuwapa watoto haki zao kwa maendeleo ya baadaye. Na Abdul Sakaza. Msimamizi Mkuu Kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) hapa Zanzibar Bi. Laxmi, amewataka vijana Zanzibar kuendelea kutetea haki za watoto ili…

13 July 2024, 7:48 am

Tumieni michezo kupinga vitendo vya udhalilishaji

Jamii inapaswa kuitumia michezo kama njia ya kupinga udhalilishaji. Na Abdul Sakaza. Wadau wa kupinga vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia Zanzibar wametakiwa kuitumia michezo mbalimbali katika kupinga vitendo hivyo ndani ya jamii zao. Ameyasema hayo huko uwanja wa michezo Mau…

8 July 2024, 9:29 am

Sakaza: Changamoto za wakulima lazima zitatuliwe

Iwapo serikali itatatua changamoto zinazowakumba wakulima kutawawezesha kuvuna mazao mengi zaidi. Na Abdul Sakaza. Mbunge Wa Jimbo La Chaani Mhe. Juma Usonge ameishauri Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Waskazini Unguja kutatua changamoto za wakulima wa bonde la Mpunga Kibokwa…

5 July 2024, 4:58 pm

Wananchi fuateni misingi ya dini

Iwapo wananchi wataweka mbele imani ya dini kutapelekea kuondosha uvunjifu wa amani. Na Vuai Juma. Wananchi wa Tanzania wametakiwa kufuata misingi ya dini ili  kuepusha mifarakano ambayo itapelekea uvunjifu wa amani iliyopo. Wito huo umetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano…

5 July 2024, 4:32 pm

CCM Kaskazini Unguja yaridhishwa na utekelezaji wa miradi

Kukamilika kwa miradi ya kimkakati katika maeneo mbalimbali kutawasaidia wananchi kupata maendeleo. Na Vuai Juma. Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja imesema imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ilinayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar…

15 June 2024, 12:47 pm

Wafanyabiashara endeleeni kulipa kodi-ZRA

Nimuhim kwa wafanyabiashara kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa. Na Abdul Sakaza. Mamlaka Ya Mapato Zanzibar (ZRA) imewataka wananchi na wafanyabiashara wa Mkoa wa Kaskazini Unguja kuendelea kulipa kodi ili kuongeza pato la taifa.  Ameyasema hayo Meneja wa Mkoa wa…