Recent posts
10 August 2023, 8:47 am
Tadio yatoa mafunzo kwa radio za kijamii Zanzibar
Kuchapisha tarifa katika mtandao wa radio TADIO kutaongeza idadi ya wafuatiliaji wa tarifa za radio za kijamii. Na Vuai Juma. Wandishi wa habari wa radio za kijamii Zanzibar wametakiwa kuitumia fursa ya kutuma kazi zao katika mtandao wa radio tadio…
9 August 2023, 1:59 pm
Wazazi, walezi Tumbatu watakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu
Uwepo wa mashirikiano kati ya wazazi na walezi kutaongeza idadi ya ufaulu. Na Latifa Ali Wazazi na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika skuli ya msingi “B” kisiwani tumbatu wameatakiwa kushirikiana na walimu wa skuli hiyo ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma na…
8 August 2023, 9:26 am
Kipindi cha mwanamke jitambue-Tumbatu
7 August 2023, 11:14 am
Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea
Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…
28 September 2021, 2:11 pm
Kaskazini Unguja yashauriwa kupinga vitendo vya udhalilishaji
Uingijaji wa wageni kiholela ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja ndio chanzo cha kuwepo Utelekezaji wa familia. Na Vuai Juma. Serekali ya mkoa wa kaskazini unguja imeshauriwa kuweka mikakati Madhubuti kwa wageni wanaoingia katika maeneo ya mkoa huo ili kuondoa…