Dodoma FM
Dodoma FM
17 February 2026, 3:27 pm

Kwa upande wake mtendaji wa Kijiji hicho Bi. Rehema Kihimba amesema wameanza kupanda miti kwenye eneo hilo ili kuzuia mmomonyoko .
Na Steven Noel.
Wananchi wa kata ya Vig’hawe mtaa wa majengo na hazina wameiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia viwanja kama walivyo ahidiwa Ili kuweza kupata makazi mengine baada ya awali kusombwa na korongo la shabani Robert miaka tisa iliyopita.
Wakizungumza na chombo hiki baadhi ya Wananchi wamesema kero hiyo imekuwa ya muda mrefu ,huku wakiendelea kupewa maneno bila utekelezaji wowote .
Frank Ngubes na Ruth Daud ni wakazi wa mtaa wahazina wamesema
Naye katibu mwenyezi wa chama cha mapinduzi bwana Omary Mstafu amekili kupokea changamoto hiyo na kuipelekeka ngazi za juu Kwa utekelezaji.