Radio Tadio

Ardhi

21 May 2026, 08:38

Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu

Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi  kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…

May 12, 2026, 3:40 pm

LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba

Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA ‎‎Mamlaka ya Serikali za Mitaa…

1 May 2026, 13:06

CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi

Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…

14 January 2026, 12:00 pm

Wananchi wafunga ofisi ya kijiji, watuhumu kuhujumu maendeleo

Na Nyangusi Olesang’ida Hali ya sintofahamu imetanda katika kijiji cha Olmotonyi, Kata ya Olmotonyi, Halmashauri ya Arusha DC, baada ya wananchi wenye hasira kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa kijiji hicho, Bwana Severini, wakimtuhumu kuwa kikwazo cha maendeleo. Wananchi hao, wakizungumza…

28 October 2025, 9:52 am

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…

19 July 2025, 5:36 pm

Viongozi wa kidini, kimila na wazee maarufu Katavi wanolewa

Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…

18 July 2025, 13:11

Kilimo cha chikichi chawa lulu Kasulu

 Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…