Radio Tadio

Ardhi

8 April 2023, 10:40 pm

Mashamba ya malisho yaanza majaribio Kilosa

Serikali ikiwa katika kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji wilayani Kilosa imeamua kuanzisha majaribio ya mashamba ya malisho ili kunusuru mifugo kuchungiwa kwenye mashamba ya mazao. “Tabia ya wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima imekua ni mazoea kwa kuwa…

21 March 2023, 4:50 pm

Hatimaye mgogoro wa ardhi Kingale watatuliwa

Baada ya mgogoro wa ardhi wa muda mrefu kutatuliwa hatimaye zoezi la upimaji limeanza rasmi katika eneo hilo. Na Nizar Mafita. Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutatua mgogoro wa ardhi…

15 March 2023, 11:36 am

Serikali ya Kijiji yadaiwa kupora ardhi.

Na Isdory Mtunda Miongoni wa changamoto zinazowakumba baadhi ya wananchi wa Vijiji vya Igota na Magereza ,Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro ,ni kuporwa ardhi na Serikali ya Kijiji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wa Vijiji hivyo katika mkutano uliowakutanisha wananchi…

8 March 2023, 12:52 pm

Wananchi waingia taharuki kufuatia maeneo wanayomiliki kutaka kuuzwa

Wananchi wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo wanayoyamiliki yakiwemo mashamba kukutwa yakipimwa na kutaka kuuzwa bila kuwepo kwa taarifa yoyote. Na Fred Cheti. Wananchi wa Mitaa wa Chihikwi, Nala, pamoja na Ndachi jijini Dodoma wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo…

23 February 2023, 4:46 pm

Wananchi waelezwa utaratibu wa kupata Hati miliki za Ardhi

hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…

10 February 2023, 12:34 pm

Baraza la Kata Litumike Kutatua Migogoro ya Ardhi

MPANDA Wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani katavi Wameshauliwa kutumia baraza la kata kusuluhisha migogoro ya ardhi. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi mkoa wa katavi Gregory Rugalema amesema kuwa kupitia mabaraza ya ardhi ya wilaya na kata…