Radio Tadio

Ardhi

13 November 2023, 4:58 pm

Kamati ya bunge yaridhishwa mradi hatimiliki Maswa

Mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi vijijini unaotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu unatarajia kutoa hatimiliki 100,000 kwa wananchi. Na Alex Sayi Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhika na utekelezaji wa…

10 November 2023, 14:03

Mbeya ‘Cement’ yarudisha fadhila kwa wananchi

Mwandishi Samweli mpogole Kampuni ya Saruji (Mbeya Cement Ltd) imetoa hekari 700 kwa wanakijiji wa Songwe Viwandani halmashauri ya wilaya ya Mbeya Kwa ajili ya kuendeleza shughuli za kilimo Hatua hiyo ni sehemu ya mchango wa uwekezaji Kwa wananchi wanaoishi…

18 October 2023, 9:48 am

Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi

Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor  Chigwada.                                                       Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…

September 27, 2023, 7:51 am

Elimu ya Upimaji Ardhi yawakomboa Wananchi

Katika kuhakikisha Wananchi wanapata Hatimiliki za Ardhi,Serikali imechukua hatua za kupima na kugawa Hatimiliki bure kwa Wananchi Na Furahisha Nundu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi umeendelea kufanyika ambapo Wananchi wa Kijiji cha Malanduku Wilayani Makete wameonesha njia bora ya kutatua…

September 12, 2023, 12:22 pm

Wananchi waipongeza serikali kutatua mgogoro wa eneo la kuzika

Na Maoni Mbuba, Songwe Wananchi wa kijiji cha Mbebe kata ya Mbebe wilayani Ileje mkoani Songwe waipongeza serikali kupitia kwa mwanasheria wa halmashauri hiyo kumaliza mgogoro wa maeneo ya kuzika baina ya wananchi kijijini hapo. Wananchi hao wamesema hayo wakati…

12 September 2023, 8:11 am

Kukosekana kwa wosia chanzo cha migogoro ya ardhi

Utamaduni wa watu wengi kutoandika wosia imetajwa kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi katika jamii nyingi nchini Tanzania huku mila na desturi zikitajwa. Na Lennox Mwamakula- Rungwe Jamii imeshauriwa kuwa na utaratibu wa kuandika wosia ili kuondokana na mkanganyiko juu…

September 11, 2023, 1:12 pm

Wananchi waliovamia ardhi Ileje watakiwa kuondoka

Wananchi waliovamia maeneo yaliyotengwa na wananchi katika kijiji cha Shinji wilayani Ileje mkoani Songwe watakiwa kuondoka Na Denis Sinkonde Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya hiyo Farida Mgomi wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini…

11 September 2023, 12:46

Wananchi Mufindi wapewa elimu umiliki ardhi

Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…