Radio Tadio

Ardhi

July 10, 2023, 11:35 pm

Wananchi halmashauri ya Ushetu kunufaika na hifadhi ya Kigosi

Serikali imegawa hifadhi ya Kigosi iliyopo katika halmashauri ya Ushetu takriban kilometa 7,000 kwa ajili ya wananchi kufanya shughuli mbalimbali Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga watanufaika na hifadhi ya Kigosi baada ya serikali…

6 July 2023, 8:47 am

Migogoro ya ardhi suluhisho lake ni lipi?

Moja ya changamoto inayojitokeza mara kwa mara katika maeneo tofauti ya mkoa wa Geita ni migogoro ya ardhi, wananchi wamefunguka ili kupata ufumbuzi. Baadhi ya wakazi wa kata ya Nyankumbu wameiomba serikali ya wilaya ya Geita kutatua Migogoro ya ardhi…

3 July 2023, 2:15 pm

Halmashauri ya jiji Dodoma kugawa viwanja 1,035 kama fidia

Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia  kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia  wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…

30 June 2023, 10:21 am

Mpanda: Uchimbaji madini uzingatie maeneo tengefu

MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dirifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kutunza mazingira na kufanya shughuli za uchimbaji madini kwenye maeneo yaliyotengwa. Hayo yamesema na mtendaji wa kijiji hicho Evelius Mathayo wakati akizungumza kwenye mkutano wa…