Ardhi
21 July 2023, 4:11 pm
Viongozi wa kijiji Zejele watakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji wa maeneo
Mhe Nolo amesema kuwa serikali ya kijiji isijiingize kwenye udalali wa kuuza ardhi kwani itakuwa ni chanzo cha mgogoro kwa wananchi . Na Seleman Kodima. Viongozi wa serikali ya kijiji cha Zejele kata ya Nondwa wametakiwa kuacha kujihusisha na uuzaji…
19 July 2023, 11:10 am
Jamii yatakiwa kushirikiana na wataalam kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardh…
Itakumbukwa kuwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa vijiji unaotekelezwa na mradi Uboreshaji wa Milki Salama za Ardhi, ni wa miaka ishirini (20) ijayo kuanzia mwaka huu 2023 mpaka 2043 ukiwa na lengo kuu la kusimamia matumizi ya ardhi…
14 July 2023, 7:33 pm
Wadau na wananchi watakiwa kushiriki katika utekelezaji mpango wa Ardhi
Mradi huu wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi unagharamiwa na Serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na katika Halmashauri ya Wilaya ya chamwino Mradi huo utatekelezwa katika vijiji 60 vilivyopo wilayani humo Na Seleman Kodima. Mkuu wa…
July 10, 2023, 11:35 pm
Wananchi halmashauri ya Ushetu kunufaika na hifadhi ya Kigosi
Serikali imegawa hifadhi ya Kigosi iliyopo katika halmashauri ya Ushetu takriban kilometa 7,000 kwa ajili ya wananchi kufanya shughuli mbalimbali Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga watanufaika na hifadhi ya Kigosi baada ya serikali…
7 July 2023, 1:03 pm
Halmashauri yaeleza mikakati yake ya kutatua migogoro ya ardhi
Itaundwa timu ya wataalam wa ardhi wa jiji la Dodoma kwa kushirikiana na baadhi ya wananchi hao ambayo itakaa ndani ya siku 7 na kupitia maeneo mbalimbali ya mgogoro. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imesema moja ya…
6 July 2023, 8:47 am
Migogoro ya ardhi suluhisho lake ni lipi?
Moja ya changamoto inayojitokeza mara kwa mara katika maeneo tofauti ya mkoa wa Geita ni migogoro ya ardhi, wananchi wamefunguka ili kupata ufumbuzi. Baadhi ya wakazi wa kata ya Nyankumbu wameiomba serikali ya wilaya ya Geita kutatua Migogoro ya ardhi…
3 July 2023, 2:15 pm
Halmashauri ya jiji Dodoma kugawa viwanja 1,035 kama fidia
Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…
3 July 2023, 12:44 pm
Karagwe: Wanaodaiwa kununua ardhi kinyemela watakiwa kuwasilisha nyaraka kwa DC
Serikali wilayani Karagwe imetoa siku saba kwa wananchi walionunua ardhi ya kijiji cha Kahanga kata ya Nyakasimbi wilayani humo kinyume cha sheria kuwasilisha vielelezo vitakavyowezesha kubaini wahusika waliowauzia ardhi hiyo. Na Eliud Henry Wakizungumuza katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na…
30 June 2023, 4:34 pm
Wizara ya Ardhi yajadili namna ya kumaliza migogoro ya ardhi Dodoma
Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…
30 June 2023, 10:21 am
Mpanda: Uchimbaji madini uzingatie maeneo tengefu
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dirifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kutunza mazingira na kufanya shughuli za uchimbaji madini kwenye maeneo yaliyotengwa. Hayo yamesema na mtendaji wa kijiji hicho Evelius Mathayo wakati akizungumza kwenye mkutano wa…