Ardhi
10 February 2023, 12:34 pm
Baraza la Kata Litumike Kutatua Migogoro ya Ardhi
MPANDA Wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani katavi Wameshauliwa kutumia baraza la kata kusuluhisha migogoro ya ardhi. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi mkoa wa katavi Gregory Rugalema amesema kuwa kupitia mabaraza ya ardhi ya wilaya na kata…
7 February 2023, 11:58 am
Aondolewa kwenye makazi baada ya miaka 24
Na Zainabu Jambia Uongozi wa Serikali ya mtaa wa Namtibwili kata ya Chuno manispaa ya Mtwara- Mikindani, mkoani Mtwara umesikitishwa na kitendo kilichofanywa na kampuni moja ya udalali iliyotajwa kwa jina la Adili, kuiondoa kwa nguvu kwenye nyumba familia ya…
23 January 2023, 10:25 am
Wizara ya Ardhi kutoa hatimiliki
Na; Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) inatarajia kutoa Hati Milki za Ardhi milioni moja katika maeneo ya mijini pamoja na Hati Miliki za Kimila laki…
18 January 2023, 2:20 pm
Wananchi watakiwa kuacha ubinafsi
Na; Lucy Lister. Naibu waziri wa sanaa utamaduni na michezo na mbunge wa jimbo la Babati mjini Mh. Pauline Gekul amewataka watanzania kuacha ubinafsi na kuwa na moyo wa kusaidia wengine kama alivyofanya baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere…
18 January 2023, 2:03 pm
Wananchi waomba elimu Umiliki ardhi
Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya umiliki wa ardhi inatakiwa kutolewa kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza maeneo mbalimbali. wakizungumza na Taswira ya habari wamesema baadhi ya wananchi hawajui ni kwanamna gani wanaweza kuwa…
2 December 2022, 17:32 pm
Wakulima washauriwa kufuatilia utabiri wa hali ya hewa ya hewa wa kilimo
Na Mussa Mtepa Wakulima wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea na kuanza kufuata taratibu zinazoelekezwa na wataalamu wa kilimo. Akizungumza na Jamii fm Radio afisa utabiri wa hali ya hewa kutoka kituo cha utafiti na kilimo TARI Naliendele Omari Rashidi Kahoki…
1 December 2022, 11:24 am
Waziri Dkt Mabula Asikitishwa Na Watendaji Wa Sekta Ya Ardhi Iringa
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za Manispaa na Wilaya ya Iringa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kusababisha halamshauri hizo kushindwa kukusanya maduhuli ya…
November 9, 2022, 12:32 pm
KAHAMA:Washinda Kaburini wakimuomba Rais Samia awasaidie kurejesha Ardhi yao ili…
Wajukuu wa Marehemu Mussa Sekke Wakiwa Wamekaa kwenye KaburiĀ Katika hali isiyo ya kawaida wajukuu wa Marehemu Musa Sekke Kasuka wa kijiji cha Mpera Kata Ya Isagehe wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameamua kushinda kwenye kaburi la babu yao Wakimuomba Rais…
28 October 2022, 4:56 pm
DC MOYO ATOA MWEZI MMOJA KWA IDARA YA MIPANGO MIJI KUMALIZA MGOGORO WA KIUMAKI N…
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo ametoa mwezi mmoja idara ya mipango miji kuhakikisha wanatatua mgogoro ya mipaka katika eneo la mlima Igeleke uliopo kata ya Mkimbizi Manispaa ya Iringa baina ya wananchi na kikundi cha uhifadhi wa…
21 October 2022, 10:18 am
Wakazi jijini Dododma wafurahishwa na msamaha wa riba ya kodi ya Pango
Na; Mariam Matundu. Kufuatia Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msamaha wa riba ya kodi ya pango la ardhi uliotolewa kuanzia mwezi julai hadi Desemba mwaka huu ,wananchi jijini Dodoma wameoneshwa kufurahishwa na hatua hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi…