Radio Tadio

Ardhi

7 June 2026, 3:33 pm

Mmiliki shule ya Kadama ashinda tuzo CEO bora Geita

Usiku wa June 06, 2026 zimetolewa tuzo za malkia wa dhahabu kwa kuthamini jitihada za wanawake katika sekta mbalimbali mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mkurugenzi na mmiliki wa Kadama English Medium Primary School Bi. Leticia Pastory ametunukiwa tuzo ya mmiliki…

3 June 2026, 10:18

MUCE yakuza tafiti na ubunifu Iringa

Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi milioni 300 zimewekezwa na Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) katika kuendeleza mawazo bunifu na tafiti mbalimbali zenye lengo la kuzalishwa kibiashara na kutoa suluhisho kwa changamoto za kijamii na kiuchumi nchini. Hayo yameelezwa…

21 May 2026, 08:38

Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu

Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi  kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…

May 12, 2026, 3:40 pm

LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba

Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA ‎‎Mamlaka ya Serikali za Mitaa…

1 May 2026, 13:06

CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi

Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…

14 January 2026, 12:00 pm

Wananchi wafunga ofisi ya kijiji, watuhumu kuhujumu maendeleo

Na Nyangusi Olesang’ida Hali ya sintofahamu imetanda katika kijiji cha Olmotonyi, Kata ya Olmotonyi, Halmashauri ya Arusha DC, baada ya wananchi wenye hasira kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa kijiji hicho, Bwana Severini, wakimtuhumu kuwa kikwazo cha maendeleo. Wananchi hao, wakizungumza…

28 October 2025, 9:52 am

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…