Ardhi
2 July 2026, 11:21 am
GGML yang’ara tuzo 2 za Rais, ikitambuliwa mlipakodi bora wa jumla
Mamlaka ya mapato nchini Tanzania ilianzishwa rasmi Julai 01, 1996 ambapo imetimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake kwa kufanya mambo mbalimbali kwenye jamii sambamba na kuwatambua walipa kodi wanaofanya vizuri. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)…
29 June 2026, 5:07 pm
GGML yashiriki Tuzo za Business SDG Awards 2026
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeshiriki hafla ya utoaji wa Tuzo za Business SDG Awards 2026 kama mdhamini wa ngazi ya Dhahabu (Gold Sponsor), ikiungana na viongozi waandamizi wa Serikali na sekta binafsi. Na: Ester Mabula Hafla hiyo…
21 June 2026, 20:32
Dimani yapanga operesheni kudhibiti madawa ya kulevya
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama, Rehema Makame Msheli, amewataka wazazi kuimarisha malezi ya watoto ili kuwakinga dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya. Viongozi wa wilaya hiyo wameeleza kuwa matumizi ya madawa ya kulevya yanachangia ongezeko la uhalifu…
7 June 2026, 4:05 pm
Ester Mabula ashinda tuzo ya mtangazaji bora wa redio 2026 mkoani Geita
“Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii naimani kabisa Tuzo hii itaongeza motisha kwangu katika kazi yangu” – Ester Mabula Na: Mrisho Sadick Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kituo cha Redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita Bi. Ester…
7 June 2026, 3:33 pm
Mmiliki shule ya Kadama ashinda tuzo CEO bora Geita
Usiku wa June 06, 2026 zimetolewa tuzo za malkia wa dhahabu kwa kuthamini jitihada za wanawake katika sekta mbalimbali mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mkurugenzi na mmiliki wa Kadama English Medium Primary School Bi. Leticia Pastory ametunukiwa tuzo ya mmiliki…
3 June 2026, 10:18
MUCE yakuza tafiti na ubunifu Iringa
Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi milioni 300 zimewekezwa na Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) katika kuendeleza mawazo bunifu na tafiti mbalimbali zenye lengo la kuzalishwa kibiashara na kutoa suluhisho kwa changamoto za kijamii na kiuchumi nchini. Hayo yameelezwa…
21 May 2026, 08:38
Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu
Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…
May 12, 2026, 3:40 pm
LVRLAC yaridhishwa hatua ujenzi soko kuu Muleba
Mradi huo unaojengwa kwa mapato ya ndani unatarajiwa kuanza kutumika kwa awamu ya kwanza mwezi Juni 2026 huku awamu ya pili pamoja na eneo lote la soko ikikamilika Septemba 2026. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Mamlaka ya Serikali za Mitaa…
1 May 2026, 13:06
CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi
Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…
27 January 2026, 10:57 pm
Sengerema yapanda miti elfu 5 sikukuu ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia
Wilaya ya Sengerema imeungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti zaidi ya elf 5, huku ikiwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kupanda miti. Na;Elisha Magege Katika kuazimisha siku ya kuzaliwa kwa rais wa…