Ardhi
7 September 2023, 2:51 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano mradi wa uboreshaji milki za ardhi
Chalinze ni miongoni mwa halmshauri 41 zinakazopitiwa na mradi wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi, ambapo Zaidi ya viwanja 7,600 vimepimwa, huku viwanja 50,000 vikitarajiwa kupimwa mpaka mwisho wa mradi huo. Na Seleman Kodima. Wakazi wa Chalinze wametakiwa kutoa…
4 September 2023, 4:09 pm
Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25
Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…
September 1, 2023, 7:25 am
Faida za hatimiliki
Wananchi pimeni Ardhi mpate Hatimiliki-Maofisa Ardhi Makete
29 August 2023, 4:00 pm
Wakazi Bihawana watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa za ardhi
Lengo la mradi wa LTIP ni kuboresha ufanisi katika utawala wa ardhi na kuongeza usalama wa milki kwenye maeneo ya mradi. Na Seleman Kodima. Wakazi wa mtaa wa Bihawana kata ya Mpunguzi jijini Dodoma wametakiwa kujitokeza hapo kesho kwa ajili…
28 August 2023, 10:13 am
Milki 60,000 kusajiliwa Kigoma na Chalinze
Kati ya Mwezi Julai 2023 hadi Agosti 2023 zaidi ya makazi 3,000 (Manispaa ya Kigoma Ujiji) na makazi 5,000 (Halmashauri ya Chalinze) yametambuliwa na kupangwa. Na Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji…
17 August 2023, 11:57 am
Wananchi wahofia kuporwa ardhi yao na kijiji
Migogoro ya ardhi kwa baadhi ya maeneo wilayani Geita imekuwa mwiba mchungu kwa wananchi hususani vijijini kwakuwa wengi wao hawajui waende wapi wakapate haki zao. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa kijiji cha Salagulwa Kata ya Nyamlolelwa wilayani Geita wameiomba serikali…
11 August 2023, 19:12 pm
Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo
Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…
24 July 2023, 1:10 pm
Mpango matumizi ya ardhi kupitia LTIP kiboko ya migogoro ya ardhi
Mradi wa Uboreshaji wa milki salama za ardhi utawezesha haki kupatikana na kufanikisha uwepo wa ushirikiano wa familia kati ya mume na mke na upatikanaji wa hati za kimila . Na Seleman Kodima. Viongozi wa serikali za Mitaa wametakiwa kutoa ushauri…
24 July 2023, 10:24 am
Ufinyu ardhi ya kilimo kilio Nsimbo
NSIMBO Wananchi wa kijiji cha Usense kata ya Uruwila halmashauri ya Nsimbo wamepaza sauti zao juu ya ufinyu wa maeneo ya kufanya shughuli za kilimo. Hayo wameyasema wakati wa ziara ya mbunge wa jimbo la Nsimbo Anna Lupembe katika kata…
24 July 2023, 10:06 am
Hati miliki za ardhi zatolewa Tanganyika
TANGANYIKA Taasisi ya Jen Goodall kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya Tanganyika chini ya mradi wa uhifadhi wa maliasili Tanzania wamefanya uzinduzi na ugawaji wa hati miliki katika kijiji cha Vikonge halmashauri yaTanganyika. Akizungumza katika uzinduzi huo Naibu Mkurugenzi…