Dodoma FM

Chikopelo kijiji cha ujamaa kilichopitiwa na Bonde la ufa

27 February 2025, 1:54 pm

Picha ni Moja ya nyumba zinazo patikana katika eneo hilo la Chikopelo.Picha na Fahari.

Kijiji hiki cha ujamaa kilitengwa tangu mwaka 1972.

Na Yussuph Hassan.

Leo mwana fahari Yussuph Hassani anazungumza na diwani wa kata ya Chali ambae anaelezea kuhusu wenyeji wa kijiji hicho na shughuli zinazo fanyika kijijini hapo,

Picha ni akina mama wa kijiji cha Chikopelo.Picha na Fahari ya Dodoma.