Serikali yahimiza clabu za maadili shuleni
19 September 2024, 7:52 pm
Kuwalea watoto katika malezi mema imetajwa kujenga kizazi bora na chenye maadili ambacho kitafuata mila na desturi la taifa letu.
Na Mindi Joseph
Moja ya jukumu la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kukuza maadili kwa watoto jukumu ambalo limetiliwa mkazo na Serikali ili kuhakikisha kuwa tunakuwa na kizazi chenye kuishi kwa kufuata misingi ya maadili.
Modesta Mtui Afisa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma anabainisha kuwa jamii inaweza kumwandaa mtoto kuwa kiongozi bora wa baadaye.
Mmomonyoko wa Maadili kwa watoto unasababishwa na nini? je ni malezi Desderia Haule amabaye pia ni Mzazi na Afisa maadili anabainisha mambo yanayochangia mmomonyoko wa maadili kwa mtoto.
Malezi bora ya mtoto yanatokana na mzazi/mlezi anapomfundisha mtoto yale yote yaliyo mema ambayo yatamjenga katika maadili na kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
Kuwalea watoto katika malezi mema imetajwa kujenga kizazi bora na chenye maadili ambacho kitafuata mila na desturi la taifa letu.
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na Viongozi bora kwa maendeleo ya taifa huandaliwa katika misingi iliyo imara.
Modesta Mtui Afisa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika mahojiano na Dodoma Tv anabainisha kuwa jamii kwa ujumla inaweza kumwandaa mtoto kuwa kiongozi bora wa baadaye.
VIDEO1….MODESTA
Mmomonyoko wa Maadili kwa watoto unasababishwa na nini je ni malezi duni ya watoto huyu ni Desderia Haule ni Mzazi na Afisa maadili anasema.
VIDEO2….MZAZI
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ina jukumu gani katika kukuza maadili kwa watoto huyu hapa Afisa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Christiani Kapere anaeleza.
VIDEO3……KAPELE
Malezi bora ya mtoto yanatokana na mzazi/mlezi anapomfundisha mtoto yale yote yaliyo mema ambayo yatamjenga katika maadili na kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
Na,Mindi