Dodoma FM
Dodoma FM
07/12/2022, 11:41
Na; Mariam Matundu.
Familia ya mtoto Agnesi inayoishi kata ya makang’wa wilayani chamwino imerejesha matumaini baada ya diwani wa viti maalumu kumsaidia binti yao kiti mwenzo kinachomuwezesha kufika shule .
.