Dodoma FM
Dodoma FM
21/03/2021, 10:30
Na ; Mariam Kasawa. Marais zaidi ya 10 wa Mataifa mbalimbali Duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli itakayofanyika kesho mjini Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema hadi sasa ana orodha…
21/03/2021, 09:51
Na; Mariam kasawa Viongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wamekagua ujenzi wa banda ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuupokea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Uwanja wa Jamhuri…
20/03/2021, 15:13
Na; Rabiamen Shoo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh, Binilith Mahenge amesema Mkoa wa Dodoma umepewa heshima ya kumuaga Hayati Dr. John Pombe Magufuli kutokana na mengi aliyo yafanya katika mkoa huu ikiwemo kuhamishia makao makuu mjini hapa. Akizungumza na…
20/03/2021, 11:41
Na, Mariam Kasawa. Wanafunzi wa chuo kikuu Dodoma ( UDOM) wamesema wanatarajia misingi imara katika Elimu iliyo wekwa na Hayati rais Dkt John Pombe Magufuli itaendelea kuimarika. Wakizungumza na Dodoma fm wanafunzi hao wamesema wamepokea msiba huu kwa majonzi makubwa…
20/03/2021, 10:11
Na, Mariam Kasawa. Maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Awamu ya Tano pamoja na viongozi wastaafu wa Serikali zilizopita wamefika Uwanja wa Uhuru kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais…
20/03/2021, 08:48
Na, Mariam Kasawa. Ratiba ya kumuaga hayati Mh, Dkt John Pombe Magufuli yabadilika , Zanzibar nayo itapata nafasi ya kumuaga Kwa mujibu wa mabadiliko ya ratiba Hayati Dkt John Magufuli atazikwa tarehe 26 na si 25 iliyo kuwa imetangazwa hapo…
19/03/2021, 13:04
Na, Mariam Kasawa. Pambano la masumbwi kwa Wanawake Queen of the Ring (‘Malkia wa Ulingoni) limeahirishwa kupisha kipindi cha Maombolezo. Mratibu wa Habari wa wakala wa Michezo Nchini wa Peaktime Joyce Mbogo amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo…
19/03/2021, 12:30
Na, Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa wanawake zaidi ya asilimia 50% wanategemea ardhi kwaajili ya kipato chao, Kauli hiyo imetolewa na Kamishna Ustawi wa jamii Dkt Naftali Ng’ondi jijini Dodoma wakati akifungua mkutano uliokuwa ukifanyika kwa njia ya mtandao ambao umehusisha…
19/03/2021, 08:24
Na, Mariam Kasawa. Aliyekua makamu wa Rais wa awamu ya tano Mh. Samia Suluhu Hassani hatimaye ameapishwa leo kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza leo machi 19, 2021 Tanzania imeandika historia ya kupata rais…
19/03/2021, 06:32
Na, Alfred Bulahya. Taasisi isiyo ya Kiserikali ya MEFADA kwa kushirikiana na YCR (Youth and Community Rehabilitation) zinazojishughulisha na suala la kupambana na dawa za kulevya na ukimwi, imeitaka jamii kuendelea kuenzi mambo muhimu yaliyofanywa na aliyekuwa rais wa Jamhuri…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-