Dodoma FM
Dodoma FM
2 December 2020, 10:51 am
Dar es Salaam. Meneja wa mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu ya Yanga SC,injinia Hersi Said akiambatana na kamati ya Mabadiliko ya Yanga, leo Jumatano Desemba. 2, 2020 wamekabidhi rasimu ya awali ya mchakato wa mabadiliko kwa…
2 December 2020, 9:56 am
Na Benard Filbert, Dodoma. Kufuatia kunyesha kwa mvua za wastani mwaka huu wakulima Mkoani Dodoma wamehimizwa kutumia mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi hali itakayowasaidia kuepuka kupata mavuno hafifu. Wito huo umetolewa na mkuu wa idara ya kilimo kutoka Mji wa…
2 December 2020, 8:38 am
Na Selemani Kodima Dodoma. Ushirikiano wa wananchi na Uongozi wa Kijiji cha Sejeli Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma umetajwa kama njia inayoweza kukomesha uharibifu wa mazingira hususani ukataji wa Miti hovyo. Hayo yanajiri baada ya hivi karibuni Uongozi wa Kijiji…
1 December 2020, 6:54 am
Na,Mariam MatunduDodoma.Ukosefu wa elimu ya jinsia kwa vijana kuanzia ngazi ya familia inatajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea takUwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana kuwa juu kuliko kundi lolote. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya…
1 December 2020, 6:20 am
Na,Mindi Joseph Ukarabati wa miundombinu inayopeleka maji katika skimu za kilimo cha umwagiliaji Ruaha Mbuyuni, Namagozi na Mlenge Pawaga Mkoani Iringa iliyoharibiwa na mafuriko katika msimu wa mvua zilizopita umekamilika kwa Asilimia (60%). Akizungumza katika ofisi za Tume ya Taifa…
30 November 2020, 7:22 am
Kutokuwepo kwa sera madhubuti zinazohusu masuala ya unywaji pombe kupita kiasi kumechangangia kushindwa kufanyika kwa shughuli za kiuchumi kutokana na baadhi ya watumiaji wa vinywaji vikali kuendekeza unywaji kupita kiasi.Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Mtandao wa mashirika ya…
26 November 2020, 7:19 am
Wanawake nchini wameshauriwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujiongezea kipato ambacho kitawasaidia katika mambo mbalimbali hususan katika kugombea na kuendesha kampeni wakati wa chaguzi. Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa umoja wa wanawake Tanzania UWT mkoa wa Dodoma…
25 October 2020, 4:13 pm
Blogs Avec un choix de plus de 3 000 jeux, le casino sans inscription Play2Win est l’un de nos casinos les plus généreux. Le choix est vaste, tant pour les machines à sous que pour le casino en direct, les…
25 October 2019, 4:13 pm
Blogs Cheri Casino est un site de jeu qui porte bien son nom. Cependant, il ne faut pas croire qu’il s’agit d’un endroit conventionnel pour profiter des jeux en ligne, car Cheri Casino surprend à chaque tournant. En lisant cette…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-