Dodoma FM
Dodoma FM
2 March 2021, 1:25 pm
Na, Mariamu Matundu, Dodoma. Serikali imesema licha ya kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa minyororo mitano ya thamani ya mazao ya mifugo, bado Jamii imeendelea kupata changamato katika mnyororo wa mtaji watu pamoja na gharama. Hayo yamesemwa na katibu…
2 March 2021, 1:07 pm
Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa mtaa wa Mkoyo Makulu Kata ya Hombolo Bwawani wameiomba Serikali, kuwaongezea pesa za fidia zinazotolewa kwa ajili ya kupisha upanuzi wa eneo la hifanyi ya Kinyami iliyopo Kijijini hapo. Hatua hiyo inakuja wakati wananchi…
26 February 2021, 9:15 am
Na, Benard Philbert, Dodoma. Jamii imeshauriwa kutumia teknolojia ipasavyo ili kutambua fursa mbalimbali zitakazo changia katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa na mhandisi Eliponda Hamir kutoka taasisi ya Teknolojia Tanzania Community network, wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu matumizi…
25 February 2021, 6:46 am
Na,Benard Philbert, Dodoma. Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimetajwa kuwa kikwazo cha kutokukamilika kwa marekebisho ya miundombinu ya maji katika mtaa wa Mahomanyika jijini Dodoma. Miezi mitatu iliyopita baadhi ya wakazi wa mtaa huo walinukuliwa wakilalamika ukosefuwa huduma ya maji kutokana…
23 February 2021, 3:11 pm
Na, Selemani Kodima, Dodoma. Usemi wa Nyumba ni choo! ambao umekuwa ukitumika katika kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha vyoo bora umekuwa tofauti katika gulio la Chilonwa Wilaya ya Chamwino Dodoma, ambapo wananchi wengi wa eneo hilo hawalipi uzito unaopaswa. Baadhi…
19 February 2021, 2:58 pm
Na, Benard Filbert, Dodoma. Vijana wameshauriwa kutumia teknolojia ya uwepo wa mitandao ya kijamii katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza na taswira ya habari afisa mazingira kutoka jumuiya ya vijana RALEIGH ambayo inajihusisha…
17 February 2021, 1:31 pm
Na, Benard Filbert, Dodoma. Zaidi ya wanafunzi 80 wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wameshindwa kuripoti shuleni, kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa uliyopo katika shule ya Sekondari Membe Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hayo yameelezwa na Diwani wa…
17 February 2021, 6:28 am
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kata ya makanda Wilayani Manyoni wameiomba serikali kufanya ukarabati wa barabara ya Makanda –Kintiku iliyopeteza mawasiliano tangu mwezi desemba mwaka jana 2020.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kuharibika kwa barabara hiyo…
11 February 2021, 2:25 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…
11 February 2021, 2:00 pm
Na,Yusuph Hans, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imeelezea baadhi ya adabu anazoweza kupewa mwananchi au kaya ambayo haitaki kulipa ada ya uzoaji taka, inayokusanywa kutokana na huduma hiyo kutolewa kila wiki. Akizungumza na Taswira ya Habari afisa afya wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-