Dodoma FM
Dodoma FM
17 February 2021, 6:28 am
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kata ya makanda Wilayani Manyoni wameiomba serikali kufanya ukarabati wa barabara ya Makanda –Kintiku iliyopeteza mawasiliano tangu mwezi desemba mwaka jana 2020.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kuharibika kwa barabara hiyo…
11 February 2021, 2:25 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…
11 February 2021, 2:00 pm
Na,Yusuph Hans, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imeelezea baadhi ya adabu anazoweza kupewa mwananchi au kaya ambayo haitaki kulipa ada ya uzoaji taka, inayokusanywa kutokana na huduma hiyo kutolewa kila wiki. Akizungumza na Taswira ya Habari afisa afya wa…
11 February 2021, 1:34 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wito umetolewa kwa viongozi wa dini kuwa mstari wa mbele katika kuelekeza jamii mambo mema, ikiwepo kupinga na kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia.Hayo yameelezwa na shekhe Abdishakul Maulid wakati akizungumza katika kipindi cha Dodoma Live kinachorushwa…
9 February 2021, 2:11 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia mpango kazi wa Dunia wa kuzuia ajali za barabarani kwa asilimia 50% wa miaka kumi iliyopita 2011 hadi 2020 kutokufika malengo, umeanzishwa mpango mwingine wa miaka 10, 2021 hadi 2030 unaoendana na malengo ya maendeleo endelevu.…
8 February 2021, 1:43 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Zaidi ya wanafunzi elfu moja kutoka shule 8 za Sekondari na 12 za Msingi Wilayani Mpwapwa, wamefanikiwa kupata mafunzo ya kuwajengea mazingira salama wawapo shuleni toka mwaka 2017. Akizungumza na Taswira ya habari meneja miradi kutoka Shirika…
5 February 2021, 4:40 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Kaya milion moja na laki mbili zinatarajiwa kushiriki katika miradi ya kuinua uchumi wa kaya kati ya kaya milion 1 laki nne na nusu zilizopo katika kipindi cha pili cha awamu ya 3, ya utekelezaji wa mpango…
5 February 2021, 4:19 pm
Na,Yusuph Hans, Dodoma. Wakazi wa Maeneo mbalimbali Mkoani Dodoma wamelalamikia tabia ya baadhi ya madereva wa daladala kujisaidia haja ndogo kwenye chupa za vinywaji na kuzitupa hovyo Mitaani. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Taswira ya Habari baadhi ya wakazi hao…
5 February 2021, 1:47 pm
Na,Seleman Kodima, Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Engusero Wilayani Kiteto umewatia hofu wananchi kuhusu kupata huduma za kijamii wakati huu wa Msimu wa Mvua za Masika. Wakizungumza na Taswira ya Habari baadhi ya wanakijiji wa Kata…
4 February 2021, 1:51 pm
Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Imeelezwa kuwa ushirikiano mdogo baina ya mamlaka zinazoshughulikia masuala ya ukatili kwa wanawake na watoto, ni moja ya chanzo cha kuongezeka matukio hayo hali inayodhohofisha jitihada za kukomesha vitendo hivyo. Hayo yamebainishwa na mratibu wa kamati ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-