Dodoma FM

Recent posts

12 April 2021, 12:05 pm

Taasisi Jijini Dodoma zahimizwa kufuatilia upandaji na ukuaji wa miti

Na; Benard Filbert. Taasisi zinazojihusisha na upandaji wa miti katika kukijanisha jiji la Dodoma zimetakiwa kuhakikisha zinapanda na kufuatilia ili kujua maendeleo ya miti hiyo. Hayo yanajiri kufuatia taasisi mbalimbali kushiriki katika kampeni ya kukijanisha jiji la Dodoma kwa kupanda…

12 April 2021, 11:33 am

Wasichana wahimizwa kutambua umuhimu wa masomo ya Sayansi

Na; Yussuph Hans Licha ya uhaba wa Wanafunzi wa Kike kusoma Masomo ya Sayansi Nchini, bado kuna changamoto mbalimbali zinazowakabili baada ya kuhitimu Masomo hayo. Hayo yamebainishwa na Afisa Mpango Ujenzi wa Nguvu za pamoja na harakati kutoka Mtandao wa…

12 April 2021, 9:13 am

Wanawake na nafasi za juu katika uongozi

Na; Mariam Kasawa. Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambayo imekuwa ikiwapa kipaumbele wanawake hasa katika nyaja ya uongozi. Akizungumza leo katika kipindi cha Dodoma live Bi. Gloria Mafole wakili mchambuzi wa sera kutoka katika Jumuiya ya kikristo Tanzania amsema wanawake…

9 April 2021, 1:02 pm

ATCL yashauriwa kuajiri watu wenye ufanisi

Na; Pius Jayunga. Serikali kupitia shirika la ndege Tanzania ATCL imeshauriwa kuajili watu wenye taaluma ya maswala ya anga ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi ulio bora ikiwa ni pamoja na kubadili mfumo wa manunuzi ndani ya Serikali. Ushauri huo…

9 April 2021, 9:59 am

Vijiji vyote kupatiwa umeme katika awamu ya tatu ya REA

Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inawahakikishia Wananchi wa maeneo yote ya Vijijini  yaliyokuwa hayajapata Umeme katika awamu zilizopita kuwa, yatapata Umeme katika awamu ya Tatu ya mzunguko huu wa pili wa REA . Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na…

9 April 2021, 9:21 am

Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi

Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri  ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva  ataendesha  gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…

9 April 2021, 8:37 am

Nkonko wakomesha mimba shuleni, kwa kujenga bweni

Na; Seleman Kodima. Uongozi wa  Kijiji cha Nkonko kilichopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida umefanikiwa kujenga bweni la wasichana katika Secondari ya Kijiji hicho ili kupunguza tatizo la mimba shuleni. Hayo yamesemwa na  Diwani wa Kata ya Nkonko Bw.Ezekiel Samwel ambapo…

8 April 2021, 1:46 pm

Tanzania kujenga uchumi shindani wa viwanda

Na; Mindi Joseph Serikali imesema inaendelea na maandalizi ya mikakati ya utekelezaji wa mpango wa 3 wa maendeleo wa Taifa kwa kipindi cha miaka 5 unaolenga kujenga uchumi shindani wa viwanda kwa maendeleo ya watu. Mapendekezo ya mpango huo yamesomwa…

8 April 2021, 12:00 pm

ATCL yatengeneza hasara, ripoti ya CAG

Na; Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa kwa Miaka Mitano mfululizo shirika la Ndege Tanzania ATCL imetengeza hasara ambapo kwa mwaka huu limesababisha hasara ya shilingi Bilioni sitini (60 ) na Milioni miambili arobaini na sita (246). Hayo yamebainishwa  mbele ya waandishi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger