Dodoma FM
Dodoma FM
10 May 2021, 11:24 am
Na; Thadei Tesha. Wafugaji nchini wameshauriwa kutumia njia bora za kisasa na kiteknolojia za kulisha mifugo ili kuleta tija katika soko la mifugo nchini. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari mtaalamu na mtafiti kutoka kituo cha…
10 May 2021, 10:27 am
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya upatikanaji wa maji imekuwa tatizo kubwa katika baadhi ya vijiji hali inayo pelekea wakazi wa maeneo hayo kutumia muda mwingi katika utafutaji wa maji. Taswira ya habari ilitembelea Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi katika…
7 May 2021, 1:52 pm
Na ; Yussuph Hans Serikali imesema katika kutambua changamoto ya uhaba wa wafamasia nchini katika kipindi cha mwaka 2021/22 ina mpango wa kuajiri watumishi 10,467 ili kuhudumia maeneo mbalimbali nchini Hayo yamesemwa Bungeni hii leo na Naibu Waziri Ofisi ya…
7 May 2021, 1:12 pm
NA; Shani Nicolous Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa sasa imejikita kuhakikisha kila nyumba inayojengwa inazingatia ramani ya choo bora kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya. Hayo yamesemwa na Afisa afya wa jiji la Dodoma Bw.Abdalah Mahiya alipo kuwa akizungumza…
7 May 2021, 12:42 pm
Na; FREDY CHETI . vijana nchini wameshauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo ili waweze kujiajiri na kuendesha maisha yao. Wito huo umetolewa na Bi. Lucy Madala mtaalamu wa kilimo kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA) wakati akizungumza…
7 May 2021, 12:05 pm
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji Cha Sambwa Kata ya KK Wilayani Kondoa wamelalamikia ukosefu wa huduma za afya katika Kijiji hicho hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kwa ajili ya matibabu. Bw.Ally Khamis ni mkazi wa Kijiji hicho amesema wamekuwa…
7 May 2021, 11:39 am
Na; Alfred Bulahya. Wakazi wa mtaa wa Lugala kata ya Mbalawala watanufaika na elimu ya watu wazima baada ya uongozi wa eneo hilo pamoja na wananchi kukubaliana kuanzisha darasa ili kuwasaidia wananchi ambao hawakubahatika kusoma. Akizungumza na Taswira ya habari…
6 May 2021, 1:56 pm
Na; Benard Filbert. Jamii inaaswa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watoto wanaoishi katika mazingira magumu hali itakayosaidia kukidhi mahitaji yao ya msingi. Wito huo umetolewa na mratibu wa shirika la Charity Vision Tanzania Mariam Mbijima mara baada…
6 May 2021, 1:38 pm
Na; FREDY CHETI. Wananchi wa Mtaa wa Salama Kata ya Kizota wameuomba uongozi wao kuwaruhusu kufanya usafi katika mazingira yanayozunguka makazi yao badala ya maeneo ya wazi kila ifikapo mwisho wa mwezi kama utaratibu ulivyowekwa na Serikali . Wakizungumza na…
6 May 2021, 11:41 am
Na; Mariam Kasawa Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani katika mbuga mbalimbali ili kufahamu vivutio vingi vya utalii vinavyo patikana hapa Nchini. Ushauri huo umetolewa na wawakilishi kutoka hifadhi ya Taifa Tanzania TANAPA wakati wakizungumza na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-