Dodoma FM
Dodoma FM
17 August 2021, 12:29
Na;Mindi Joseph . Imeelezwa kuwa ni asilimia 58% ya wamama nchini ndio wananyonyesha watoto wao kikamilifu huku Watoto wengi wakikosa maziwa ya mama ipasavyo. Akizungumza na Taswira ya habari Ruth Mkopi Afisa tafiti mwandamizi Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania…
17 August 2021, 12:11
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mkoka Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia kukamilisha upatikanaji wa huduma za afya katika kituo cha afya ili kupunguza adha kwa wananchi Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa…
17 August 2021, 11:33
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…
17 August 2021, 11:19
Na; Benard Filbert. Kufuatia machafuko makubwa katika nchi ya Afghanistan kati ya vikosi vya wanamgambo wa Taliban dhidi ya serikali, nchi za afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepusha kujitokeza kwa hali kama hiyo. Hayo yameelezwa na mhadhiri na mchambuzi…
17 August 2021, 10:51
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umesema unatambua uwepo wa changamoto ya maji katika kijiji cha Mgunga hivyo wanampango wa kufanya maboresho katika mtandao wa bomba za maji ili kufanikisha upatikanaji wa huduma hiyo Akizungumza na…
16 August 2021, 14:12
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…
16 August 2021, 13:44
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani Dodoma wamelalamikia kukosa taarifa juu fursa ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na kila halmashauri nchini kwa vikundi vilivyosajiliwa vya vijana, wanawake na Watu wenye ulemavu. Wakizungumza na kitu hiki wakazi hao wamesema kuwa wanapata changamoto…
16 August 2021, 13:33
Na; Mariam Matundu. Jamii imeombwa kumsaidia mtoto faisal ambae amezaliwa na uleamvu kupata bima ya afya na mahitaji mengine muhimu kwa kuwa anaishi katika mazingira magumu. Mtoto faisal anaishi na mama yake huku baba mzazi wa mtoto huyo hajulikani alipo,mwandishi…
16 August 2021, 13:21
Na;Mindi Joseph. Maafisa Biashara wametakiwa kuzingata Utoaji wa huduma bora ili kuchangia wafanyabiashara kurasimisha biashara zao na kuingia katika zama za ushindani wa kibiashara. Akizungumza leo jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo ya maafisa bisahara Afisa Mtendaji Mkuu BRELA Bw.…
13 August 2021, 12:24
Na; Benard Filbert. Ikiwa ni wakati wa mavuno wakulima katika Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhifadhi mazao yao kwa njia za asili na kitaalamu ili kuepuka kupatwa na sumu kuvu ambayo ni hatari kiafya. Ushauri huo umetolewa na mkuu…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-