Dodoma FM
Dodoma FM
17 May 2021, 12:26 pm
Na; Yussuph Hans Zaidi ya shilingi Bilion 635 kutoka Mfuko wa Barabara zimetengwa kwa ajili ya matengezo ya Barabara Nchini kwa kipindi cha Mwaka 2021/22. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh Leonard Madaraka Chamuriho wakati…
17 May 2021, 11:56 am
Na; Shani Nicolous Wakazi wa kata ya Kikuyu kaskazini jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata hiyo hali inayosababisha ugumu wa usafiri hasa msimu wa mvua wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa ni…
13 May 2021, 1:00 pm
Na;Mindi Joseph. Moja ya changamoto inayotajwa kuwakabili wahanga wa ukatili wa kijinsia ni kusubirishwa kwa muda mrefu wanapokwenda hospitali kupatiwa matibabu wakati mwingine kutopata matibabu. Ili kufahamu kiini cha changamoto hiyo na hatua wanazochukua pindi wanapowapokea wahanga wa vitendo hivyo…
13 May 2021, 12:13 pm
NA; SHANI NICOLOUS. Wito umetolewa kwa mama lishe jijini Dodoma kuzingatia usafi katika shughuli zao, hususani wa vijiko vinavyotumika kulia chakula ili kuepusha maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini. Akizungumza na Taswira ya Habari daktari kutoka Hospitali ya Benjamini…
13 May 2021, 11:46 am
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa rasilimali fedha umetajwa kuwa sababu iliyokuwa ikipelekea Wizara ya elimu sayansi na teknolojia kushindwa kufanya mashindano ya kitaifa ya sayansi teknolojia na ubunifu katika ngazi za Wilaya. Hayo yameelezwa na profesa Kipanyula ambaye ni mkurugenzi…
13 May 2021, 10:39 am
Na; Yussuph Hans. Waandishi wa Habari wa Redio za kijamii Nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu ya 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi. Hayo yamesemwa na Afisa Programu wa shirika la…
12 May 2021, 1:43 pm
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa ili Tanzania kuwa na elimu jumuishi yenye ufanisi ni muhimu sera ya elimu ieleze wazi suala hilo na kuweka vipaumbele katika mitaala jumuishi ,pamoja na utoaji wa elimu nyumbufu kwa ngazi zote. Hayo yameelezwa na…
12 May 2021, 1:17 pm
Na; Benald Filbert Barabara zilizopo katika kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa zimeingizwa kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 ili kufanyiwa ukarabati kuanzia eneo la Mtanana A hadi Ndalibo, kwa lengo la kuondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakikutana nao.…
12 May 2021, 1:00 pm
Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
12 May 2021, 12:47 pm
Na; Mindi Joseph Serikali imehimizwa kuwashirikisha wananchi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kuokoa hasara inayojitokeza kufuatia asilimia 36 ya miradi iliyokamilika Nchini kutotumika licha ya kugharimu rasilimali nyingi za fedha. Taswira ya habari imezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-