2 April 2025, 6:00 pm

Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…

On air
Play internet radio

Recent posts

12 January 2026, 3:13 pm

Uchaguzi viongozi soko la Machinga na matumaini kedekede

Kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandikishaji kuelekea uchaguzi wa viongozi wa soko hilo wafanyabiashara soko la wazi la Machinga Complex wamesema matarajio yao ni kuwa na viongozi wawajbikaji. Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa Soko la Wazi la Machinga wameeleza matumaini…

12 January 2026, 2:34 pm

Maafisa usafirishaji Dodoma walalamikia mikataba kandamizi

Aidha wamebainisha kuwa kutokana na kukosa elimu ya kisheria ndo maana wanakumbana na mrorongo wa kukiukwa kwa makubaliano dhidi ya wamiliki wa pikipiki hizo na kujikuta wanashindwa kuzimiliki hizo pikipiki. Na Jerome John. Maafisa usafirishaji (boda boda) mkoani Dodoma wamelalamikia…

12 January 2026, 2:14 pm

Tanzania yatinga kundi la juu la ukomavu wa TEHAMA duniani

Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…

12 January 2026, 1:50 pm

Uhamiaji Dodoma na ‘mjue jirani yako’

Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…

12 January 2026, 1:26 pm

Wakuu wa shule watakiwa kuepuka ucheleweshaji wa masomo

Kauli hiyo inatokana na Waraka wa Elimu Na. 05 wa mwaka 2025 na Waraka wa Elimu Na. 06 wa mwaka 2025, ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza rasmi ratiba ya muhula wa masomo kwa shule za awali, msingi…

9 January 2026, 4:48 pm

Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto shule 2026

Aidha mwanasheria huyo ameeleza kuwa endapo mzazi atashindwa kufanya hivyo atachukuliwa hatua stahiki na atatakiwa kueleza sababu ni zipi zilizopelekea kushindwa kwake kutimiza wajibu wake. Na Mwandishi wetu. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha watoto shule katika kuanza muhula…

9 January 2026, 4:24 pm

Migodi ya Manyemba, Nayu yahitaji nishati ya umeme

Wachimbaji hao wamesema endapo watapatiwa huduma ya umeme katika machimbo hayo itasaidia kukuza uwekezaji na kurahisisha uchimbaji. Na Victor Chigwada. Wananchi wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya dhahabu katika migodi ya Manyemba na Nayu Kata ya Dabalo Wilaya ya…

9 January 2026, 4:10 pm

Shule ya msingi Dabalo yazidiwa na wanafunzi

Kwa sasa shule hiyo imezidiwa na wingi wa wanafunzi hali inayopelekea darasa moja kukaliwa na wanafunzi hadi 100. Na Victor Chigwada. Mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Dabalo, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma umepelekea wanafunzi kushindwa kuwaelewa walimu wanapokuwa…

9 January 2026, 3:52 pm

Kiteto tayari kwa bima ya afya kwa wote

Kikao hicho kimelenga kutoa elimu ya awali na kujenga uelewa kwa viongozi kuhusu mpango huo muhimu kwa ustawi wa wananchi. Na Kitana Hamis. Wilaya ya Kiteto imeonyesha utayari mkubwa katika utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote baada…

9 January 2026, 3:31 pm

Wataalam wahimiza kilimo cha kitaalam Dodoma

Ameeleza kuwa baadhi ya wakulima wamekuwa wakipata hasara kutokana na makosa ya kulima bila kutifua ardhi, kutotumia mbegu bora na kupanda bila kufuata kanuni za kitaalamu. Na Anwary Shabani. Wakulima wametakiwa kutambua ukanda wa kilimo wanaoishi ili kufanya maandalizi sahihi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger