25 October 2023, 1:25 pm

Madereva bodaboda wanaoendekeza tamaa Bahi waonywa

Bodaboda wamekuwa na mazoea ya kukodiwa usiku wa manane na watu ambao hawawafahamu matokeo yake wanauawa na kuporwa pikipiki. Na. Bernad Magawa. Kamanda wa Polisi wilaya ya Bahi SSP Idd Ibrahim amekemea vikali madereva wa bodaboda wanaoendekeza tamaa ya fedha…

On air
Play internet radio

Recent posts

6 September 2024, 9:03 pm

Mauaji ya kutisha Mkonze

Watu wawili wa familia moja ambao ni Mama na mtoto wameuawa usiku wa kuamkia leo na watu wasiofahamika Kata ya Mkonze Mtaa wa Muungan Dodoma Mauaji ya kutisha Mkonze Na Nazaeli Mkude. Watu wawili wa familia moja ambao ni Mama…

6 September 2024, 9:03 pm

Nala kusahau adha ya maji

Na Mindi Joseph . Wakazi wa Nala wataondokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa sasa kutokana na kukosekana kwa huduma thabiti ya maji safi. Wakieleza kwa nyakati tofauti, gharama zianazowakabili ni pamoja na gharama kubwa ya kupata huduma ya maji toka…

6 September 2024, 9:02 pm

Elimu zaidi yahitajika dhana ya usawa wa kijinsia

Elimu zaidi yahitajika dhana ya usawa wa kijinsia Na Mariam Kawasa. Yapo mambo mbalimbali yanayo pelekea dhana ya usawa wa kijinsia isieleweke kwa jamii kutokana na uelewa hasi wa baadhi ya wananchi ambao kupitia matumizi mabaya ya dhana hii wamepelea…

6 September 2024, 9:02 pm

Matumizi ya dawa bila vipimo ni hatari kwa afya

Watu wanaotumia dawa bila maelekezo ya daktari wanatengeza sumu inayoenda kuharibu ini pamoja na kusababisha figo kuchoka Na Mourine Swai. Daktari Gaudence Mathew kutoka Decca Polyclinic amesemakuwa zipo  athari za za kiafya zinazotokana na matumizi ya dawa bila ushauri wa…

5 September 2024, 8:03 pm

DC Mpwapwa atoa wito JKT kumlinda Rais dhidi ya uhalifu mtandoni

Kikosi 826 KJ wakati wa kuhitimisha mafunzo ya kijeshi Wilayani Mpwapwa DC Mpwapwa atoa wito JKT kumlinda Rais dhidi ya uhalifu mtandoni Na Steven Noel. Mkuu wa Wilaya ya Mheshimiwa Sophia Kizigo amewataka Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga…

5 September 2024, 8:02 pm

Mgogoro wa ardhi Zanka mbioni kutatuliwa

Mbunge wa jimbo la bahi mh Kenneth Nolo mkoan Dodoma amehahidi kumaliza mgogoro wa ardhi unaowakabili wanachi wa kijij cha Zanka Mgogoro wa ardhi Zanka mbioni kutatuliwa Na Nazaeli Mkude Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe, Kenneth Nolo Mkoan Dodoma…

5 September 2024, 8:02 pm

Taka  ni fursa  kwa uwekezaji na ajira

Bidhaa zinazozalishwa kutokana na taka za mifuko chakavu na plastiki cha Future Corolful kilichopo Jijini Dodoma Na Mariam Kasawa. Waziri  wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muunganona Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji  amefanya ziara ya kukagua  uzingatiaji wa sheria…

5 September 2024, 8:02 pm

Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja  

Kituo hicho kinalenga kupokea taarifa za rushwa malalamiko na hoja kutoka kwa wananchi. Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja   Na Mindi Joseph . Wananchi Mkoani Dodoma wamepongeza kuzinduliwa kwa Kituo cha utoaji huduma kwa wateja kinacholenga…

4 September 2024, 7:04 pm

Maiti ya Kichanga yaopolewa kisimani

Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi mitatu hadi minne amekutwa ametupwa ndani ya kisima Maiti ya Kichanga yaopolewa kisimani Na Thadei Tesha. Mfulululizo wa matukio na visa vya ukatili vinavyoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali hapa mkoani Dodoma. Jeshi la…

4 September 2024, 7:04 pm

Wananchi walilia fidia ya maeneo ndani ya mradi wa SGR

Wananchi wanaoishi katika eneo la Image Jijini Dodoma wameonesha wasiwasi wa kutopata stahiki ya fidia Wananchi walilia fidia ya maeneo ndani ya mradi wa SGR Na Mindi Joseph. Wananchi wanaoishi katika eneo la Image Jijini Dodoma wameonesha wasiwasi wa kutopata…