

Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…
2 April 2025, 6:00 pm
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…
2 April 2025, 5:43 pm
Itakumbukwa kuwa Machi 25 mwaka huu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiwa mkoani Kilimanjaro amepiga marufuku tabia ya waganga katika hospitali za serikali kuwaandikia wagonjwa dawa na kuwaelekeza kununua dawa hizo katika maduka ya…
2 April 2025, 5:26 pm
Aidha Taswira ya Habari inaendelea na juhudi ya kuutafuta uongozi wa RUWASA wilaya kujua hatua wanazochukua kutatua changamoto hiyo. Na Victor Chigwada.Uharibifu wa Miundombinu ya Maji katika kijiji cha Muungano kata ya Muungano umesababisha wananchi kukosa maji hali inayochangia wananchi…
1 April 2025, 6:25 pm
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), linawataka Watanzania kuanza kubadili mtazamo na kuziona taka kama fursa ya kuzirejeleza na kupata bidhaa mbalimbali na kujikomboa kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Mamlaka za serikali za mitaa na halmashauri za wilaya…
1 April 2025, 6:09 pm
Ripoti ya takwimu za uhalifu na usalama barabarani ya mwaka 2023 inaonesha matukio ya ubakaji na ulawiti kuongoza ambapo jumla ya matukio 8,185 ya ubakaji yaliripotiwa kwa mwaka 2023 huku ulawiti yakiwa matukio 2,382. Na Mariam Matundu.Wakati serikali na wadau…
20 March 2025, 5:50 pm
Kampuni ya Puma Energy imetoa mitungi 500 kwa Mheshimiwa mbunge ikielezwa kuwanufaisha mama na baba lishe kutoka vitongoji mbalimbali na vituo vya afya zahanati 51 Dodoma mjini. Na annwary shaban.Waziri wa madini na mbunge wa Dodoma mjini Mh.Antony Mavunde ameendelea…
19 March 2025, 5:51 pm
Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…
19 March 2025, 5:41 pm
Naye Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mwalimu Vicent B. Kayombo amewaasa Maafisa hao kufanya kazi zao kwa bidii , akisisitiza kuwa baada ya mafunzo hayo, wote waliokuwa hawafanyi kazi vizuri wakajirekebishe. Na Mariam Kasawa.Maafisa elimu kata…
13 March 2025, 4:50 pm
“Jambo ambalo tunajivunia ni kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya macho kwa njia ya upasua(Operation) wa matundu madogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Na. mwandishi wetu.Hospitali ya Benjamin Mkapa imekuwa Hospitali ya kwanza katika sekta ya Umma kwa kufanya upasuaji (Operation)…
13 March 2025, 4:31 pm
Ulaji holela na mtindo wa maisha unatajwa kupelekea wananchi kuugua magonjwa yasio ya kuambukiza. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari kwa kubadili mtindo wa maisha. Katika kuadhimisha miaka 10 ya utoaji huduma Kituo…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-