On air
Play internet radio

Recent posts

16/03/2026, 18:11

Mvua yasomba mashamba kwa Mshango Mpwapwa

Amesema taarifa hiyo tayari imeandaliwa na itawasilishwa katika ofisi za ngazi ya wilaya kwa hatua zaidi. Na Stephen Noel, Mpwapwa Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeendelea kusababisha madhara kwa wananchi, ikiwemo kusombwa kwa mashamba ya wakulima katika Kitongoji…

16/03/2026, 17:58

Ukarabati waendelea barabara ya Handeni–Kibrashi–Kibaya

Barabara hiyo ambayo inaunganisha Mkoa wa tanga na Manyara inaendelea kufanyiwa ukarabati. Na Kitana Hamis. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara zimesababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya na kupelekea adha kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo. Wakiongea…

16/03/2026, 17:47

Vijiji 8 Mpwapwa kunufaika na mpango wa matumizi bora ya ardhi

VIJIJI vitakavyo nufaika na mpango huo ni Kijiji cha Mzase,Godegode,Mgoma Kisisi na Kitati.vijiji vingine Lukole, Kingiti na Kidenge . Na Steven Noel.Jumla ya vijiji nane vya halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma vinatarajia kunufaika mpango wa matumizi bora…

16/03/2026, 17:19

Korongo lahatarisha usalama wa wananchi Kaloleni

Wananchi wameiomba serikali kuharakisha kuchukua hatua za kudumu ili kuhakikisha usalama wa watoto na wakazi wa Kaloleni. Na Kitana Hamis.Wananchi wa Kata ya Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uwepo wa korongo kubwa linalokatiza eneo lao, wakisema linahatarisha usalama wa…

16/03/2026, 13:43

DUWASA yaendelea na ukarabati bomba kubwa la maji taka

Meneja wa Kitengo cha Majitaka na Usafi wa Mazingira DUWASA, Mhandisi Ores John, amesema kuwa mamlaka hiyo inashirikiana na wataalamu kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha matengenezo yanafanyika haraka. Na Anwary Shaban Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…

09/03/2026, 20:56

Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi

Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…

09/03/2026, 20:17

Jamii yaaswa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya

Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma imeshauriwa kutojiusisha na utumiaji wa dawa za kulevya au uuzaji kutokana na madhara makubwa yanayoweza kujitokeza endapo ukibainika. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa elimu kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za…

06/03/2026, 16:25

Kata zatakiwa kutenga bajeti kwaajili ya kujenga masoko

Kliniki hiyo ya kutatua kero kwa wananchi itachukua takribani siku tatu na  Moja ya dhamira kuu ya serikali nikuhakikisha  mwananchi hatembei umbali mrefu kwenda kupata huduma badala yake wamezisogeza taasis zote za kiserikali katika eneo moja ili kutatua kero kwa…

06/03/2026, 12:26

Wanawake MPUWSA watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum

Ni lazima wanawake kujikita katika malezi ya watoto  bila kujali changamoto zao . Na Steven Noel. Kuelekea Siku  ya kilele cha wanawake Duniani  wanawake wa mamlaka ya maji Katika Mji wa Mpwapwa  Watoa msaada  wa vifaa vya  shule Katika  kituo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger