Dodoma FM

Boresha maisha ya vijana wasaidia kubadili mitazamo ya vijana

30 July 2025, 11:18 am

Picha ni Bi. Fatma Njama mnufaika wa mafunzo ya mradi wa boresha maisha ya vijana.Picha na George John.

Mradi huu wa Boresha Maisha yaVijana tayari umefika katika mikoa Takribani mine na tayari umegusa maisha ya vijana 40, 000 hapa nchini.

Na Mriam Kasawa.

Uongezaji wa thamani katika mazao ni moja ya njia zinazo tajwa kuwanufaisha vijana jijini Dodoma na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi.

Picha ni akina mama wakichagua karanga ambazo huongezwa thamani na kuuzwa .picha na George John.

Katika jamii nyingi, vijanawamekuwawakikumbananachangamotozaajira, kipato na fursa za kujikwamua kiuchumi . Lakini kupitia mradi wa Boresha Maisha yaVijana unaotekelezwana TYC kwaufadhiliwa WE EFFECT hali imebadilikahali imebadika na vijana walio pitia mafunzo waasimulia jinsi walivyo nufaika.

Mwanadada Fatma Njama ni mnufaika wa mafunzo ya mradi wa boresha maisha ya vijana kupitia mafunzo aliyopata  ya kuongeza thamani mazao anasema wameweza   kutengeneza bidhaa mbalimbali na kujipatia kipato.

Sauti ya Fatma Njama.
Picha ni Meneja mradi wa boresha maisha ya vijana Bw.Yahaya  Kitogo kutoka TYC.Picha na George John.

Mradi huu wa boresha maisha ya kijana umeweka mkazo katika kuwawezesha vijana kwa kuwajengea uwezo wa kujitegemea pamoja na kuwaunganisha na fursa mbalimbali za kujikwamua kimaisha.

Sauti ya Ramadhan Issa

Nae Meneja mradi wa boresha maisha ya vijana Bw.Yahaya  Kitogo kutoka TYC hapa anaeleza jinsi mradi huo ulivyo fanikiwa kuwafikia vijana na kuwanufaisha.

Sauti ya Bw.Yahaya  Kitogo.