Dodoma FM

Tembo wageuka tishio wilayani Kiteto

13 May 2025, 4:47 pm

Picha ni Tembo ambao wamekuwa wakizunguka maeneo hayo na kuleta madhara kwa wananchi.Picha na Kitana Hamis.

Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu.

Na Kitana Hamis.
Kwa kipindi Cha Miezi 4 zaidi ya Watu 4 Wameuawa Wengine kujeruhiwa kwa kushambuliwa na Tembo.

Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu huku Tembo hao wakiharibu mali pamoja na mazao ya Wananchi wilayani Kiteto Mkoani Manyara.

Habari kamili.