Radio Tadio

Ajali

15 July 2026, 5:29 pm

Getere: “ukichukua mkopo rejesha ili wengine wapate”

Akemea tabia ya baadhi ya wanachama wa vikundi kwenda benki kuchukua mikopo bila kuwashirikisha wenzao, akisema mwenendo huo husababisha migogoro ndani ya vikundi. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amesema atashirikiana kwa karibu na Benki ya…

13 July 2026, 5:40 pm

Kahama ya kidijitali yanukia

‘‘Kukamilika kwa Mpango Kabambe wa Kidijitali itasaidia kuondoa makazi holela katka Manispaa ya Kahama’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuendelea kutoa ushirikiano katika kutekeleza mradi wa Mpango Kabambe wa Kidigitali na msimamizi wa mradi, unaotarajiwa kutekelezwa katika…

8 July 2026, 12:46 pm

Madiwani Ushetu waomba magari mabovu kutengenezwa

”Orodhesheni magari mabovu yote pamoja na gharama zake ili yatengenezwe na kuanza kufanyakazi” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri hiyo, kuorodheshwa kwa magari mabovu na gharaza za utengenezaji ili kuweza kufanya matengenezo na kuanza kutumika.…

29 June 2026, 6:25 pm

Kilimba: Elimu mliyoipata ifanyieni kazi mkue kiuchumi

‘‘Tumieni elimu mlioyoipata kuboresha na kuongeza thamani bidhaa zenu na kuongeza vipato vyenu’’ Wajasiriamali wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kutumia elimu ya ujasiriamali walioipata wakaifanyie kazi kwa vitendo ili kuimarisha biashara zao na kuongeza vipata…

26 June 2026, 11:21 am

Mtelela: Mkopo wa 10% siyo sadaka

Wakizungumza baada ya kupokea fedha hizo baadhi ya wanufaika hao wamesema kuwa fedha hizzo zimewasaidia kupata mitaji,kukuza vipato vyao kutokana na n mkopo huo wenye masharti nafuu kutoka halmashauri. Na Mariam Mrambi Jumla ya vikundi 33 kutoka maeneo mbalimbali katika…

23 June 2026, 19:35

Wajane  Ifakara wapinga mila kandamizi

Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…

16 June 2026, 6:00 pm

Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu changamkieni mikopo

‘‘Vijana msikate tamaa wakati mkishughulikia kupata mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri, inayotokana na mapato ya ndani’’ Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuaiha tabia ya kukata tamaa katika ufatiliaji wa upatikanaji wa…