Ajali
15 July 2026, 5:29 pm
Getere: “ukichukua mkopo rejesha ili wengine wapate”
Akemea tabia ya baadhi ya wanachama wa vikundi kwenda benki kuchukua mikopo bila kuwashirikisha wenzao, akisema mwenendo huo husababisha migogoro ndani ya vikundi. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amesema atashirikiana kwa karibu na Benki ya…
13 July 2026, 5:40 pm
Kahama ya kidijitali yanukia
‘‘Kukamilika kwa Mpango Kabambe wa Kidijitali itasaidia kuondoa makazi holela katka Manispaa ya Kahama’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuendelea kutoa ushirikiano katika kutekeleza mradi wa Mpango Kabambe wa Kidigitali na msimamizi wa mradi, unaotarajiwa kutekelezwa katika…
8 July 2026, 12:46 pm
Madiwani Ushetu waomba magari mabovu kutengenezwa
”Orodhesheni magari mabovu yote pamoja na gharama zake ili yatengenezwe na kuanza kufanyakazi” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri hiyo, kuorodheshwa kwa magari mabovu na gharaza za utengenezaji ili kuweza kufanya matengenezo na kuanza kutumika.…
1 July 2026, 06:36
Mfuko wa wanawake wajasiriamali wazinduliwa rasmi Mtwara Mjini
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalumu, Maryprisca Mahundi, amezindua Mfuko wa Uwezeshaji wa Wanawake Wajasiriamali Wadogo Mtwara Mjini, ambapo wanawake zaidi ya 300 wamepatiwa mafunzo na 80 kunufaika na mikopo ya biashara. Na Musa Mtepa Naibu…
29 June 2026, 6:25 pm
Kilimba: Elimu mliyoipata ifanyieni kazi mkue kiuchumi
‘‘Tumieni elimu mlioyoipata kuboresha na kuongeza thamani bidhaa zenu na kuongeza vipato vyenu’’ Wajasiriamali wa kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kutumia elimu ya ujasiriamali walioipata wakaifanyie kazi kwa vitendo ili kuimarisha biashara zao na kuongeza vipata…
28 June 2026, 3:06 pm
Wajasiriamali Kahama changamkieni fursa ya mikopo ya 7% na 10%-Kilimba
Wajasiriamali katika kata ya Nyahanga Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo ya asilimia 7% na 10% yenye masharti nafuu ili kujikwamua kiuchumi na kuongeza vipato vyao. Zaidi ya wajasiriamali 74 wa kata ya Nyahanga…
26 June 2026, 11:21 am
Mtelela: Mkopo wa 10% siyo sadaka
Wakizungumza baada ya kupokea fedha hizo baadhi ya wanufaika hao wamesema kuwa fedha hizzo zimewasaidia kupata mitaji,kukuza vipato vyao kutokana na n mkopo huo wenye masharti nafuu kutoka halmashauri. Na Mariam Mrambi Jumla ya vikundi 33 kutoka maeneo mbalimbali katika…
23 June 2026, 19:35
Wajane Ifakara wapinga mila kandamizi
Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…
22 June 2026, 4:24 pm
DC Geita ashiriki uzinduzi wa MMU ya ulipuzi wa miamba migodini
“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…
16 June 2026, 6:00 pm
Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu changamkieni mikopo
‘‘Vijana msikate tamaa wakati mkishughulikia kupata mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri, inayotokana na mapato ya ndani’’ Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuaiha tabia ya kukata tamaa katika ufatiliaji wa upatikanaji wa…