Radio Tadio

Ajali

16 Aprili 2026, 15:28

DC Kigoma azindua ugawaji wa majiko sanifu

Majiko banifu ni suluhisho muhimu kwa maendeleo endelevu yanayochangia afya, uchumi, na utunzaji wa mazingira Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohamed Chuachua, ametoa wito kwa wananchi wilayani humo kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye…

31 Machi 2026, 3:24 um

Mikopo asilimia 10 ipo ombeni

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10  ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi  kuunda vikundi imara  vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…

17 Machi 2026, 11:08

Majiko banifu zaidi ya 400 yatolewa kwa wananchi Kasulu

Majiko banifu yamekuwa suluhisho muhimu katika kukabiliana na changamoto za kimazingira na kijamii katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania na kwa muda mrefu jamii nyingi zimekuwa zikitegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia hali ambayo imesababisha…

9 Machi 2026, 9:49 um

Kc-Mamire yaadhimisha siku ya wanawake duniani.

Na Marino Kawishe Kituo cha taarifa na maarifa kilichopo Kata ya Mamire Wilayani Babati Mkoani Manyara chini ya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP leo kimeadhimisha siku ya wanawake duniani kwakutoa vitu mbali mbali kwa wanafunzi zaidi ya Ishirini na tano wanaosoma…

2 Machi 2026, 7:38 um

Babati Dc yazindua maadhimisho siku ya wanawake Duniani

Na Marino Kawishe Halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo kiwilaya yatafanyika March 6 mwaka huu kwa kutembelea kituo cha kulea wazee kilichopo katika kijiji cha Saramee kata ya magugu na  kupanda miti…

26 Febuari 2026, 7:05 um

Getere aonesha kutoridhishwa kasi ujenzi baadhi ya miradi

Ameonesha kutokulidhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa zahanati ya Mahanga ambayo hadi sasa utekelezaji wake umesimama kutokana na uzembe wa watendaji Na Mariam Mramba Viongozi wa vijiji wametakiwa kushirikiana vizuri katika usimamizi wa fedha zinazotolewa na…

14 Febuari 2026, 10:57 mu

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kahama lapitisha bajeti ya bil. 70

Baraza la madiwa la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti shililingi bilioni 70 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, fedha zitakazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Manispaa hiyo. Bajeti hiyo inatarajiwa kukusanywa…