Radio Tadio

Ajali

26 August 2024, 17:44

Moto waunguza bweni, wanafunzi 107 wakosa pa kulala Mbeya

Katika hali ya kusikistisha moto umezuka katika bweni la wanafunzi na kusababisha kukosa pa kulala. Na Hobokela Lwinga Wanafunzi 107 wa Shule ya Sekondari Nsenga, jijijini Mbeya wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala kuwaka moto huku vitu vyote vikiteketea.…

6 February 2024, 4:48 pm

Mwanafunzi afariki wakati akiogelea bwawani Geita

Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mashimo makubwa kujaa maji nakuleta madhara kwa watu na wanyama waliyopembezoni mwa mashimo hayo. Na Kale Chongela: Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Mbabani Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita  wilayani Geita amefariki…

6 February 2024, 8:26 am

Soko la Mbuyuni lateketea kwa moto

Soko la Mbuyuni limeteketea kwa moto na kuwasababisha hasara kwa wafanyabiashara wa soko hilo huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amefika soko la Mbuyuni lililoteketea kwa moto usiku huu…

1 February 2024, 5:54 pm

Katavi: Wachimbaji waaswa kuchukua tahadhari migodini kipindi cha mvua

“Kaimu kamanda  Geofrey Mwambungu  amesema kuwa kuna ajali nyingi hutokea katika maeneo ya Migodini  kipindi cha mvua”. Picha na Gladness Richard. Na Gladness Richard-Katavi Wachimba wa madini mkoani Katavi wameshauliwa kuchukua tahadhali kabla hawajaingia kwenye Migodi  katika kipindi hiki cha…

30 January 2024, 2:32 pm

Mlinzi achinjwa na watu wasiojulikana usiku Sengerema

Matukio ya walinzi kuuawa mjini Sengerema yamekuwa yakijirudia mara kwa mara kila mwaka jambo hili limekuwa likihusishwa na imani za kishirikina pamoja na wivu wa kimapenzi. Na;Said Mahera Mtu  mmoja  anaesadikiwa  kuwa ni mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya  Mwasenda …