Radio Tadio

Ajali

23 June 2026, 19:35

Wajane  Ifakara wapinga mila kandamizi

Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…

16 June 2026, 6:00 pm

Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu changamkieni mikopo

‘‘Vijana msikate tamaa wakati mkishughulikia kupata mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri, inayotokana na mapato ya ndani’’ Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuaiha tabia ya kukata tamaa katika ufatiliaji wa upatikanaji wa…

13 June 2026, 12:55

UN Women kusaidia wanawake, vijana 3500 Kigoma

Mabadiliko ya tabianchi yamekuwa yakiathiri sehemu kubwa ya ustawi wa watu wenye ulemavu, wanawake na vijana katika shughuli mbalinbali za uzalishaji mali. Na Mwandishi wetu Shirika la Umoja wa Mataifa la Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake (UN Women)…

12 June 2026, 7:26 pm

TGNP yasaidia wakulima Manyara kupata uelewa wa kilimomisitu

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP kwa kushirikiana na baadhi ya wakulima kutoka vituo vya taarifa na maarifa  vya mamire na Murray mkoani Manyara wamefanya mafunzo ya pamoja ya nadharia na vitendo yanayohusu Kilimomisitu. Akizungumza na Fm Manyara  Msimamizi wa mafunzo…

7 June 2026, 10:15

Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu

Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…

15 May 2026, 11:49 pm

Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara

Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…