Ajali
23 June 2026, 19:35
Wajane Ifakara wapinga mila kandamizi
Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…
22 June 2026, 4:24 pm
DC Geita ashiriki uzinduzi wa MMU ya ulipuzi wa miamba migodini
“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…
16 June 2026, 6:00 pm
Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu changamkieni mikopo
‘‘Vijana msikate tamaa wakati mkishughulikia kupata mikopo ya 10% inayotolewa na halmashauri, inayotokana na mapato ya ndani’’ Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuaiha tabia ya kukata tamaa katika ufatiliaji wa upatikanaji wa…
13 June 2026, 12:55
UN Women kusaidia wanawake, vijana 3500 Kigoma
Mabadiliko ya tabianchi yamekuwa yakiathiri sehemu kubwa ya ustawi wa watu wenye ulemavu, wanawake na vijana katika shughuli mbalinbali za uzalishaji mali. Na Mwandishi wetu Shirika la Umoja wa Mataifa la Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake (UN Women)…
12 June 2026, 7:26 pm
TGNP yasaidia wakulima Manyara kupata uelewa wa kilimomisitu
Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP kwa kushirikiana na baadhi ya wakulima kutoka vituo vya taarifa na maarifa vya mamire na Murray mkoani Manyara wamefanya mafunzo ya pamoja ya nadharia na vitendo yanayohusu Kilimomisitu. Akizungumza na Fm Manyara Msimamizi wa mafunzo…
7 June 2026, 10:15
Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu
Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…
6 June 2026, 1:32 pm
Vyama vya ushirika Shinyanga vyatakiwa kuwalipa wakulima kidijitali
‘‘Lipeni wakulima katika mfumo wa njia ya simu ama benki na si kwa njia ya mkononi kama ilivyo sasa’’ Wakulima wa zao la Pamba mkoani Shinyanga wametakiwa kufanya malipo yao wa kutumia mfumo wa kidigiti ili kuondokana na upotevu fedha…
28 May 2026, 9:11 pm
Vikundi vya taarifa na maarifa vyachambua bajeti za wizara ya 2026/2027
Wakati Bunge la 13 likiendelea Jijini Dodoma na Wizara mbali mbali zikiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2026-2027 vituo vya taarifa na maarifa Mkoani Manyara vimepata wasaa wakujadili bajeti za Wizara ya Afya, Elimu,…
27 May 2026, 12:42
CRS yaendeleza kampeni ya ‘taka ni pesa’ wanawake, vijana kunufaika…
Mradi wa kugeuza taka kuwa fursa ya kiuchumi una mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii kwani unasaidia kuongeza kipato, kulinda mazingira, kuboresha usafi pamoja na kuhamasisha matumizi bora ya taka. Na Lucas Hoha Shirika la Catholic Relief Services (CRS) kwa…
15 May 2026, 11:49 pm
Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara
Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…