Ajali
15 May 2026, 11:49 pm
Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara
Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…
15 May 2026, 09:04
Baraza la Madiwani Mtwara lahoji utekelezaji wa mradi wa TACTICS
Madiwani wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wameeleza kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa TACTICS, huku viongozi wakitaka usimamizi madhubuti ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi Na Musa Mtepa Baraza la madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara…
2 May 2026, 21:28
ZFDA yateketeza tani 4.8 za maziwa yenye bakteria
ZFDA imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya SMA kwa tuhuma za kubainika kuchafuliwa na bakteria hatari. Uchafuzi huo unaweza kusababisha madhara kama kichefuchefu, kutapika, maumivu ya tumbo na kuharisha. Na Mary Julius/ Wakala wa Chakula, Dawa na…
2 May 2026, 20:32
Wahitimu kutumia elimu kusaidia jamii
Wahitimu wa Kidato Cha Sita katika shule ya Sekondari JJ Mungai iliyopo Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuisaidia Jamii Kwa kutumia Elimu yao. Ma Fredrick Siwale Hayo yamezungumzwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Iringa (UoI) Dr.Salvatory Mhando katika…
May 2, 2026, 3:15 pm
Vituo vya afya Bukoba vyasukumwa kuboresha huduma za lishe
Elimu ya lishe inatakiwa kuwafikia wananchi wote ili wajue umuhimu wa kutunza afya zao na kupima mara kwa mara. Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, Erasto Sima amesema upo umuhimu wa kutoa huduma bora…
29 April 2026, 1:13 am
Vituo vya taarifa, maarifa vyatathmini mradi kwa vikundi 56 Manyara
Na Marino Kawishe. Jumla ya wanavikundi 56 kutoka kwenye vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mamire na Murray Mkoani Manyara wametoa tathimini ya utekelezaji mradi uletao mabadiliko ambao unatekelezwa kwenye halmashauri 6 na mikoa mitatu hapa nchini. Wakizungumza…
16 April 2026, 15:28
DC Kigoma azindua ugawaji wa majiko sanifu
Majiko banifu ni suluhisho muhimu kwa maendeleo endelevu yanayochangia afya, uchumi, na utunzaji wa mazingira Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohamed Chuachua, ametoa wito kwa wananchi wilayani humo kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye…
31 March 2026, 3:24 pm
Mikopo asilimia 10 ipo ombeni
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10 ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi kuunda vikundi imara vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…
19 March 2026, 4:48 pm
Kahama wapiga marufuku viongozi wa mitaa kujihusisha na uuzaji wa viwanja
Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepiga marufuku wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji kujihusisha na mikataba ya mauziano ya viwanja na maeneo kwakuwa ni kinyume na utaratibu wa sheria za manispaa. Sebastian Mnakaya Agizo hilo limetolewa na kaimu Mkurugenzi…
17 March 2026, 11:08
Majiko banifu zaidi ya 400 yatolewa kwa wananchi Kasulu
Majiko banifu yamekuwa suluhisho muhimu katika kukabiliana na changamoto za kimazingira na kijamii katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania na kwa muda mrefu jamii nyingi zimekuwa zikitegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia hali ambayo imesababisha…