Ajali
May 2, 2026, 3:15 pm
Vituo vya afya Bukoba vyasukumwa kuboresha huduma za lishe
Elimu ya lishe inatakiwa kuwafikia wananchi wote ili wajue umuhimu wa kutunza afya zao na kupima mara kwa mara. Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, Erasto Sima amesema upo umuhimu wa kutoa huduma bora…
29 April 2026, 1:13 am
Vituo vya taarifa, maarifa vyatathmini mradi kwa vikundi 56 Manyara
Na Marino Kawishe. Jumla ya wanavikundi 56 kutoka kwenye vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mamire na Murray Mkoani Manyara wametoa tathimini ya utekelezaji mradi uletao mabadiliko ambao unatekelezwa kwenye halmashauri 6 na mikoa mitatu hapa nchini. Wakizungumza…
16 April 2026, 15:28
DC Kigoma azindua ugawaji wa majiko sanifu
Majiko banifu ni suluhisho muhimu kwa maendeleo endelevu yanayochangia afya, uchumi, na utunzaji wa mazingira Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohamed Chuachua, ametoa wito kwa wananchi wilayani humo kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye…
31 March 2026, 3:24 pm
Mikopo asilimia 10 ipo ombeni
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10 ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi kuunda vikundi imara vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…
19 March 2026, 4:48 pm
Kahama wapiga marufuku viongozi wa mitaa kujihusisha na uuzaji wa viwanja
Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepiga marufuku wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji kujihusisha na mikataba ya mauziano ya viwanja na maeneo kwakuwa ni kinyume na utaratibu wa sheria za manispaa. Sebastian Mnakaya Agizo hilo limetolewa na kaimu Mkurugenzi…
17 March 2026, 11:08
Majiko banifu zaidi ya 400 yatolewa kwa wananchi Kasulu
Majiko banifu yamekuwa suluhisho muhimu katika kukabiliana na changamoto za kimazingira na kijamii katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania na kwa muda mrefu jamii nyingi zimekuwa zikitegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia hali ambayo imesababisha…
9 March 2026, 9:49 pm
Kc-Mamire yaadhimisha siku ya wanawake duniani.
Na Marino Kawishe Kituo cha taarifa na maarifa kilichopo Kata ya Mamire Wilayani Babati Mkoani Manyara chini ya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP leo kimeadhimisha siku ya wanawake duniani kwakutoa vitu mbali mbali kwa wanafunzi zaidi ya Ishirini na tano wanaosoma…
3 March 2026, 13:17
TAKUKURU Mtwara yadhibiti Milioni 15.3 za makato ya Korosho na ufuta
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Region imedhibiti zaidi ya shilingi milioni 15.3 za makato ya korosho na ufuta, kupokea malalamiko 53 ya rushwa, na kusimamia marekebisho ya miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.03 Na Musa Mtepa…
2 March 2026, 7:38 pm
Babati Dc yazindua maadhimisho siku ya wanawake Duniani
Na Marino Kawishe Halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo kiwilaya yatafanyika March 6 mwaka huu kwa kutembelea kituo cha kulea wazee kilichopo katika kijiji cha Saramee kata ya magugu na kupanda miti…
26 February 2026, 7:05 pm
Getere aonesha kutoridhishwa kasi ujenzi baadhi ya miradi
Ameonesha kutokulidhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa zahanati ya Mahanga ambayo hadi sasa utekelezaji wake umesimama kutokana na uzembe wa watendaji Na Mariam Mramba Viongozi wa vijiji wametakiwa kushirikiana vizuri katika usimamizi wa fedha zinazotolewa na…