Radio Tadio

Ajali

10 July 2025, 12:53 pm

Fursa zasababisha wanaume Katavi kuamka

Mwalimu Chahe (kushoto) akifundisha utengenezaji wa batiki kwa vitendo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo haya walikuwa wanahudhuria kina mama lakini awamu hii wanaume ndio wengi” Na Anna Mhina Idadi ya washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na uchumi imeongezeka hadi kufikia…

7 July 2025, 7:34 pm

Acheni kuishi na kuku, fugeni kuku

Wajasiriamali wakiwa kwenye mafunzo. Picha na Anna Mhina “Lengo ni kuhakikisha wanakatavi wanapata mafunzo ya uchumi na ujasiriamali” Na Anna Mhina Zaidi ya wajasiriamali 80 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya namana ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni pamoja…

7 July 2025, 09:56

TAWEA yatoa elimu ya uhifadhi wa misitu Makere na Moyowosi

Ushirikishwaji katika kwa wananchi na viongozi wa serikali ni jambo muhimu na litasaidia kupatikana kwa ushirikiano katima maeneo yote ambayo mradi huo utatekelezwa Na Mwandishi wetu Shirika la Tanzania wote Equality Alliance (TAWEA) limezindua mradi wa utunzaji wa Mazingira katika…

1 July 2025, 10:34 pm

Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050

Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…

15 March 2025, 5:46 pm

Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17

Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…