Ajali
7 July 2025, 09:56
TAWEA yatoa elimu ya uhifadhi wa misitu Makere na Moyowosi
Ushirikishwaji katika kwa wananchi na viongozi wa serikali ni jambo muhimu na litasaidia kupatikana kwa ushirikiano katima maeneo yote ambayo mradi huo utatekelezwa Na Mwandishi wetu Shirika la Tanzania wote Equality Alliance (TAWEA) limezindua mradi wa utunzaji wa Mazingira katika…
1 July 2025, 10:34 pm
Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050
Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…
12 April 2025, 7:16 pm
Barrick North Mara watenga bil. 4.687 miradi mipya CSR
Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…
20 March 2025, 09:13
TASA yatambulisha mradi wa ‘Amani Yetu Kesho Yetu’ Mtwara
Mradi wa Amani Yetu Kesho Yetu unaonekana kuwa ni hatua nzuri ya kujenga jamii yenye umoja na amani, hasa kwa kuhusisha vijana na wanafunzi ambao wapo katika hatari ya kutumbukia katika uvunjifu wa amani katika jamii Na Musa Mtepa Shirika…
17 March 2025, 9:43 pm
Wakandarasi wasio kamilisha miradi kwa wakati, kunyang’anywa kazi
Kulia ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Zainab Katimba na katika ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge TAMISEMI, Jastine Nyamoga (Picha na Sebastian Mnakaya) kasi ya mkandarasi huyo haidhirishi ambapo mpaka sasa ametekeleza ujenzi kwa asilimia 48 pekee huku…
15 March 2025, 5:46 pm
Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…
14 March 2025, 08:08
Wawili wanusurika kifo baada ya magari kugongana na kuwaka moto Mbeya
Elimu ya udereva imekuwa ikiwasisitiza madereva kuwa makini natika uendeshaji wao wa vyombo vya moto,licha ya hivyo madereva wengi wamekuwa wakiukwaji wa sheria na taratibu za barabara. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamenusurika kifo baada ya ajali ya magari mawili…
3 March 2025, 7:49 am
Nyamuswa yetu kwanza yadhamiria kurudisha tabasamu kijijini
Kikundi hicho kilianzishwa tangu mwaka 2021 na kilianza katika dhima ya kusaidia watu misibani na kusaidia batibabu kwa wale wanaougua lakini hawana uwezo wa kwenda hospitali. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha pesa taslimu shilingi milioni moja laki sita na elfu…
28 February 2025, 11:14 am
Serikali kuendeleza ushirikiano na sekta binafsi katika kukuza uchumi
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Watanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza umasikini miongoni mwao Na Sebastian Mnakaya Serikali imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha Wantanzania wanaendelea kupata huduma bora sambamba na kupunguza…
20 February 2025, 7:21 pm
Madiwani Bunda DC wakubali kupitisha bajeti ya Tsh, 36,5 bilion
Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi Bilion 36.5 kwa mwaka wa fedha 2025 na 2026 Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda limepitisha makadilio ya bajeti ya shilingi…