Radio Tadio

Ajali

1 August 2023, 8:11 pm

Mwili mwingine wapatikana waliozama Ziwa Victoria

Mwili mwingine wa muumini wa kanisa la KTMK umepatikana jioni hii na kufanya jumla ya waliopatikana kufika wawili huku vifo vikifikia vitatu kati ya watu 28 waliokuwa kwenye mitubwi iliyozama. Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji wa miili ya…

31 July 2023, 8:52 pm

Manusura ajali ya mitumbwi Bunda wasimulia hali ilivyokuwa

Vijana walionusurika kwenye ajali ya mitumbwi eneo la Mchigondo Bunda wasimulia hali ilivyokuwa baada ya mitumbwi kuzama na wao walivyonusurika huku wakiokoa watoto watatu. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Joseph Kundi mkazi wa Bulomba alikuwa ni miongoni mwa wasafiri…

31 July 2023, 4:39 pm

Bunda: Watu 13 wahofiwa kufariki dunia Ziwa Victoria

Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakinusurika baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria wakiwa wanatoka kanisani eneo la Mchigondo kata ya Igundu halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Watu 13 wanahofiwa kupoteza…

29 July 2023, 10:20 pm

Maduka matatu yateketea kwa moto Bukombe

Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…