Ajali
14 April 2023, 10:15 am
Mvua Yaezua Nyumba Mbili Mtaa waMtemi Beda
MPANDA. Nyumba mbili zimeezuliwa katika mtaa wa mtemi beda kata ya misunkumilo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo na kusababisha watu kukosa makazi . Wakizungumza na mpanda redio fm wahanga wa tukio hilo wamesema…
9 March 2023, 1:15 pm
Miili ya Watu 9 Waliofariki katika Ajali Yazikwa Katavi
KATAVI Miili ya watu 9 waliofariki katika ajali ya basi ya kampuni ya Kombas iliyotokea march 6 katika mlima Nkondwe halmashauri ya wilaya Tanganyika mkoani Katavi imeagwa katika hospital ya manispaa ya Mpanda . Akizungumza wakati wa zoezi la kuaga…
16 February 2023, 12:36 pm
Ajali ya basi la Afrika Raha dereva alikuwa ‘bize’ na simu
Mwendokasi na dereva kuwa ‘bize’ na simu wakati wa safari ni chanzo cha ajali ya Basi la Afrika Raha iliyotokea siku ya jumapili tarehe 12 Feb 2023 eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoa wa Mara barabara ya Mwanza Musoma.…
16 February 2023, 12:31 pm
Aliyepambana na mamba kwa dakika 15 majini asimulia alivyonusurika
Boniface Nkwande mkazi wa Buzimbwe kata ya Bulamba Halmashauri ya wilaya ya Bunda Mkoani Mara anaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya DDH Bunda baada ya kushambuliwa na mamba na kujeruhiwa mkono wake wa kulia. Akisimulia tukio hilo amesema lilitokea jumamosi…
14 February 2023, 10:35 am
Mama mwenye mtoto wa miezi miwili, akatika mguu ajali ya Basi
Hellena Emmanuel(23) mkazi wa Mwanza ni miongoni mwa abiria waliojeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la Afrika Raha iliyotokea tarehe 12 Feb 2023 majira ya saa 9 alasiri eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoani Mara Akizungumza na Radio Mazingira…
8 February 2023, 12:30 pm
Nyumba 50 Zaharibiwa na Mvua Mwamkulu
MPANDA Nyumba 50 Zimeharibiwa huku kaya 47 zikikosa makazi katika kata ya Mwamkulu Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Kufuatia Mvua iliyonyesha January 31 ,2023 Wakizungumza na Mpanda redio FM Wahanga wa tukio hilo wamesema kuwa mvua hiyo imeleta uharibifu mkubwa…
23 January 2023, 10:36 am
Watoto watatu wa familia wateketea kwa moto
Watoto watatu wa familia ya BI Karesma Theodory wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na Bibatari. Tukio hilo lililoibua simanzi, lilitokea usiku kijijini humo kwa kile kinachodaiwa chanzo ni kibatari ambacho…
6 January 2023, 9:11 am
Wahanga wa shambulio la paka wa ajabu wapata ahueni.
Na Nicolaus Lyankando: Wananchi walioshambuliwa na Paka wa ajabu akiwemo Mtoto mwenye umri wa miaka (5) katika kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Tukio hilo limetokea hivi karibuni katika Kitongoji…
29 December 2022, 7:55 pm
Afariki dunia baada ya kusombwa na maji akivuka mto
Na Mrisho Sadick : Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Benjamini John mwenye umri wa miaka (30) Mkazi wa Kata ya Kasamwa Halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kwenye mto kwenda…
May 25, 2022, 11:00 am
BASI LA RUKSA CLASS LAUA WATU WATATU NA KUJERUHI WANNE KAHAMA
Watu watatu wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali ya Basi la Abiria kampuni ya RUKSA CLASS baada ya kupinduka katika Kijiji cha Kayenze halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa jeshi…