Radio Tadio

Ajali

14 April 2023, 10:15 am

Mvua Yaezua Nyumba Mbili Mtaa waMtemi Beda

MPANDA. Nyumba mbili zimeezuliwa katika mtaa wa mtemi beda kata ya misunkumilo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo na kusababisha watu kukosa makazi . Wakizungumza na mpanda redio fm wahanga wa tukio hilo wamesema…

9 March 2023, 1:15 pm

Miili ya Watu 9 Waliofariki katika Ajali Yazikwa Katavi

KATAVI Miili ya watu 9 waliofariki katika ajali ya basi ya kampuni ya Kombas iliyotokea march 6 katika mlima Nkondwe halmashauri ya wilaya  Tanganyika mkoani Katavi imeagwa katika hospital ya manispaa ya Mpanda . Akizungumza wakati wa zoezi la kuaga…

8 February 2023, 12:30 pm

Nyumba 50 Zaharibiwa na Mvua Mwamkulu

MPANDA Nyumba 50 Zimeharibiwa huku kaya 47 zikikosa makazi katika kata ya Mwamkulu Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Kufuatia Mvua iliyonyesha January 31 ,2023 Wakizungumza na Mpanda redio FM Wahanga wa tukio hilo wamesema kuwa mvua hiyo imeleta uharibifu mkubwa…

23 January 2023, 10:36 am

Watoto watatu wa familia wateketea kwa moto

Watoto watatu wa familia ya BI Karesma Theodory wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na Bibatari. Tukio hilo lililoibua simanzi, lilitokea usiku kijijini humo kwa kile kinachodaiwa chanzo ni kibatari ambacho…

6 January 2023, 9:11 am

Wahanga wa shambulio la paka wa ajabu wapata ahueni.

Na Nicolaus Lyankando: Wananchi walioshambuliwa na Paka wa ajabu akiwemo Mtoto mwenye umri wa miaka (5) katika kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Tukio hilo limetokea hivi karibuni katika Kitongoji…

29 December 2022, 7:55 pm

Afariki dunia baada ya kusombwa na maji akivuka mto

Na Mrisho Sadick : Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Benjamini John mwenye umri wa miaka (30) Mkazi wa Kata ya Kasamwa Halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kwenye mto kwenda…

May 25, 2022, 11:00 am

BASI LA RUKSA CLASS LAUA WATU WATATU NA KUJERUHI WANNE KAHAMA

Watu watatu wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa  katika ajali ya Basi la Abiria kampuni ya RUKSA CLASS baada ya kupinduka katika Kijiji cha Kayenze halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa jeshi…