Ajali
13 July 2023, 9:16 pm
Miili mitatu yatambuliwa wahanga wa ajali
Majonzi yatawala wilayani Bukombe kufuatia ajali ya watu sita kufariki dunia, miili imeendelea kutambuliwa huku serikali ikitoa wito kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria. Na Mrisho Sadick: Kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Bukombe Mkoani Geita Dkt Timotheo…
13 July 2023, 2:59 pm
Sita wafariki ajali ya gari Bukombe
Usingizi wa dereva wa gari dogo la abiria Toyota Hiace umekatisha uhai wa watu sita katika kata ya Runzewe wilayani Bukombe mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu sita wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota…
13 July 2023, 12:27 pm
Moto wateketeza vitu vyote vya ndani Geita
Majanga ya moto mkoani Geita yameendelea kujitokeza huku wananchi wakitakiwa kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto kwa ajili ya uokozi kwa namba ya bure ya 114. Na Kale Chongela Moto ambao haujajulikana chanzo chake umezuka na kuteketeza vitu vya…
12 July 2023, 11:32 am
Moto uliyozuka eneo la uwekezaji wadhibitiwa
Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kutoa taarifa haraka pindi wanapohitaji msaada wa maokozi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita limefanikiwa kuudhibiti moto uliyozuka karibu…
5 July 2023, 5:40 pm
Mmoja afariki 46 wajeruhiwa ajali ya gari Bunda
Mtu mmoja Anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 amepozea maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo la Balili kona Bunda mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa…
July 5, 2023, 7:16 am
Mbarali wamlilia Mtega
Wananchi wa mbarali, Spika wa Bunge na Mbunge Jimbo la Makete wakiwa Ibadani kumuaga Marehemu Francis
12 May 2023, 12:19 pm
Wanafunzi wawili wafariki Dunia na wengine 31 kujeruhiwa katika ajali ya gari
ASP Ramadhani amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi kasi uliosababisha gari kumshinda dereva kuacha njia na kupinduka ambapo hadi sasa dereva huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo. Na Bernad Magawa Wanafunzi wawili wa shule ya sekondari…
21 April 2023, 8:48 pm
Bibi wa miaka 62 anusurika kifo bada ya kuangukiwa na nyumba
Bi Hamida Kitage mwenye umri wa miaka 62 amesema ilikuwa majira ya saa tisa alasiri akiwa ndani ya nyumba hiyo ya tofali za kuchoma alisikia kitu kimedondoka kutoka juu na kumpiga kichwani na kudondoka Na Elias Maganga Mkazi wa mtaa…
19 April 2023, 1:18 pm
Mwanahabari Rashid Msigwa Afariki Dunia katika ajali Eneo la ipogolo
Na Mwandishi wetu Mwanahabari Rashid Msigwa Mkazi wa Igumbilo Manispaa ya Iringa amefariki katika ajali iliyotokea eneo la Ipogolo usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi amesema kuwa Msigwa…
18 April 2023, 9:35 pm
Mmoja Afariki kwa Kuangukiwa na Ukuta Shanwe
MPANDA Mtu Mmoja aliyefahamika kwa jina la Elizabeti Fabiano mwenye umri wa mika 29 mkazi wa Mtaa wa shanwe Manispaa ya Mpanda mkoa wa katavi amefariki Dunia Kwa kuangukiwa na nyumba Akizungumzia tukio Hilo mama mzazi wa marehemu Khadija Eneliko…