Radio Tadio

Ajali

2 October 2023, 15:27

Mwili wa mtoto waopolewa ndani ya bwawa la Katosho

Wazazi na walezi mkoani Kigoma wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuhakikisha hawachezei sehemu hatarishi ikiwemo madimbwi na mabwawa. Na Josephine Kiravu Mwili wa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 11 hadi 13 ambaye hajatambulika jina…

8 September 2023, 12:02 pm

Mtu mmoja ajeruhiwa na watu wasiojuilikana Pemba

Mmiliki wa kambi ya uchumaji  zao la karafuu anajeruhia na watu wasiojuuilikana huko kambini kwake  matukio hayo yanajitokeza kila msimu wa karafuu unapofika  kisiwani Pemba. Na Mwandishi wetu. WATU wasiofahamika Wadaiwa kuvamia kambi ya karafuu na Kumshambulia kwa vitu vyenye…

4 September 2023, 9:44 am

Watoto Wawili Familia Moja Wafariki kwa Ajali ya Moto

KATAVI. Watoto wawili wa familia moja Florida Froline (3) na Ferisian Froline (3) wamefariki dunia Baada ya nyumba waliokuwemo kuungua Moto mtaa wa Tulieni kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Shuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa watoto hao…

August 23, 2023, 4:53 pm

Watoto wafariki Tinde wakichezea gari

Watoto wawili wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 6 na 7 wamefariki dunia kwa kukosa hewa wakichezea gari katika Kitongoji Ng’ung’ula Kijiji cha Jomu kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga. Mwenyekiti wa Kijiji cha Tinde, Juma Warioba ameiambia…

8 August 2023, 12:39 pm

Moto wateketeza hotel Pongwe

Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid  ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa  kuandaa utaratibu…

6 August 2023, 10:05 pm

Ghala la pamba la 4C lateketea kwa moto Bunda

Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…