Ajali
19 February 2026, 12:49 pm
Madiwani Bunda DC yapitisha rasimu ya bajeti ya bil. 38.9 mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha bajeti yenye jumla ya shilingi bilion 38,947,705,000 Na Edward Lucas Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara limepitisha Bajeti yenye jumla ya Shilingi bilion 38,947,705,000 kwa…
14 February 2026, 10:57 am
Baraza la Madiwani Manispaa ya Kahama lapitisha bajeti ya bil. 70
Baraza la madiwa la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti shililingi bilioni 70 kwa mwaka wa fedha 2026/2027, fedha zitakazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Manispaa hiyo. Bajeti hiyo inatarajiwa kukusanywa…
8 February 2026, 5:23 pm
Msalala yatoa bilioni moja kwa vikundi vya wajasiriamali
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Frank Nkinda amewaasa wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri kuitumia vizuri kwa kuinua uchumi wao na zisiwe chanzo cha malumbano na ugomvi baina yao. Nkinda ameyasema hayo wakati akikabidhi hundi ya Shilingi…
31 January 2026, 12:12 pm
NMB yakabidhi msaada wa vifaa vyenye thamani ya mil 230 mkoa wa Mara
Katika msaada huu Benk ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 230 mkoani Mara ambapo kwa hospital DDH Rorya imepokea Encubators 8 ambazo zitasaidia watoto njiti baada ya kuzaliwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa vifaa saidizi…
27 January 2026, 1:54 am
Vijana Malunga watakiwa kujiari wao wenyewe
Na Sebastian Mnakaya Vijana wa kata ya Malunga wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekabidhiwa Cherehani 4 na Mashine ya kuchomelea 1, vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 1.9 ili kujiari na kujikwamua kiuchumi. Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya mkutano wa…
26 January 2026, 10:12
Vijana kata ya Chuno wahamasishwa kujipanga kiuchumi
Vijana wa Kata ya Chuno, Mtwara Mjini, wametakiwa kuungana katika vikundi ili kunufaika na tenda na mikopo ya serikali kwa maendeleo yao ya kiuchumi Na Musa Mtepa Vijana wametakiwa kuungana na kuunda vikundi vitakavyowawezesha kupata tenda na mikopo kutoka serikalini,…
22 December 2025, 9:30 am
Kilimo cha umwagiliaji kinavyowawezesha wanawake Simanjiro
Na Isack Dickson, Katika Wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi si hadithi tena, bali ni ukweli mchungu unaohatarisha usalama wa chakula, hata hivyo kundi la wanawake 111 katika vijiji 5 limeamua kubadili mwelekeo. Kupitia ushirikiano na shirika la TACCEI, wanawake…
12 December 2025, 19:30
Waziri Chongolo afanya ziara ya kikazi Mtwara
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, alifanya ziara ya kikazi Mtwara kufuatilia msimu wa korosho 2025/2026, kuhimiza ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuanzisha teknolojia ya ndege nyuki kupulizia dawa, na kuagiza TARI-Naliendele kufanya utafiti wa changamoto za korosho kutokana na mvua…
28 November 2025, 9:14 am
Kilimo cha Umwagiliaji: Suluhisho la Ukame na Njia ya Uhakika ya Kipato
KURUNZI MAALUMU Katika hali ya ukame uliokolea na utegemezi wa mvua, hasa Manyara, Orkonerei FM inakuletea Kurunzi Maalumu inayoangazia Kilimo cha Umwagiliaji kama mkombozi mkuu. Sikiliza jinsi wakulima wa Kata ya Terrat, Simanjiro, wanavyotumia vyanzo vidogo vya maji kama korongo…
20 November 2025, 3:02 pm
Muziki wawaongezea utulivu ng’ombe wakati wa kukamuliwa
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…