Radio Tadio

Ajali

13 June 2026, 12:55

UN Women kusaidia wanawake, vijana 3500 Kigoma

Mabadiliko ya tabianchi yamekuwa yakiathiri sehemu kubwa ya ustawi wa watu wenye ulemavu, wanawake na vijana katika shughuli mbalinbali za uzalishaji mali. Na Mwandishi wetu Shirika la Umoja wa Mataifa la Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake (UN Women)…

12 June 2026, 7:26 pm

TGNP yasaidia wakulima Manyara kupata uelewa wa kilimomisitu

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP kwa kushirikiana na baadhi ya wakulima kutoka vituo vya taarifa na maarifa  vya mamire na Murray mkoani Manyara wamefanya mafunzo ya pamoja ya nadharia na vitendo yanayohusu Kilimomisitu. Akizungumza na Fm Manyara  Msimamizi wa mafunzo…

7 June 2026, 10:15

Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu

Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…

15 May 2026, 11:49 pm

Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara

Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…

2 May 2026, 21:28

ZFDA yateketeza tani 4.8 za maziwa yenye bakteria

ZFDA imeteketeza tani 4.8 za maziwa ya watoto aina ya SMA kwa tuhuma za kubainika kuchafuliwa na bakteria hatari. Uchafuzi huo unaweza kusababisha madhara kama kichefuchefu, kutapika, maumivu ya tumbo na kuharisha. Na Mary Julius/ Wakala wa Chakula, Dawa na…

2 May 2026, 20:32

Wahitimu kutumia elimu kusaidia jamii

Wahitimu wa Kidato Cha Sita katika shule ya Sekondari JJ Mungai iliyopo Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa kuisaidia Jamii Kwa kutumia Elimu yao. Ma Fredrick Siwale Hayo yamezungumzwa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Iringa (UoI) Dr.Salvatory Mhando katika…