Radio Tadio

uharibifu

September 12, 2023, 7:51 am

RUWASA Ileje walia na uharibifu wa mazingira

Na Denis Sinkonde, Songwe Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA wilayani Ileje mkoani Songwe walia na changamoto ya uharibifu wa vyanzo vya maji hali inayopelekea baadhi ya miradi kutotoa maji kama ilivyokusudiwa.  Hayo yamebainishwa na mratibu wa…