
Recent posts

June 18, 2025, 3:03 pm
Ileje yajipanga kukabiliana na udumavu
Mikakati hiyo ya serikali imetajwa kuwa itasaidia kukabiliana na wimbi la udumavu,utapiamlo na ukondefu hususani kwa watoto chini ya miaka 5 Na:Joel Kibona Serikali itaendelea kuimarisha ustawi wa jamii kupitia utekelezaji wa agenda ya lishe bora kwa watoto, ili kukabiliana…

June 18, 2025, 1:17 pm
Shilingi bilioni 1.9 wakopeshwa vijana Tunduma
Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa ya asilimia ya mikopo inayotolewa na hamashauri mji Tunduma kwa lengo la kuinua uchumi wao. Na:Denis Sinkonde Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilaya ya Momba Mkoani Songwe kwa kipindi cha uongozi wa serikali ya Awamu ya…

June 11, 2025, 1:21 pm
Baraza la madiwani likivunjwa simamieni fedha ,Rc Songwe
Usimamizi wa fedha za mradi usipofuata taratibu baada ya mabazara ya madiwani kuvunjwa kutaibuka miradi mingi haitakamilika kwa wakati ukilinganisha na malengo ya serikali na kuibua hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG. Na:Denis Sinkonde Ileje.Mkuu wa Mkoa…

June 10, 2025, 3:06 pm
Sh 2.9 bilioni kujenga daraja Momba
Imeelezwa kuwa daraja hilo pindi litakapokamilika litawasidia wananchi wa halmashauri ya Momba na Tunduma kurahisisha shughuli za usafirishaji yakiwepo mazao. Na: Denis Sinkonde Momba.Serikali imeanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa mita 54 linalounganisha halamashauri ya Momba na Tunduma wilaya…

June 6, 2025, 7:31 am
Wanaovusha mbolea ya ruzuku mpakani waonywa
Mamlaka ya udhibiti wa mbolea nyanda za juu kusini TFRA yatoa tahadhari kwa wafanyabiashara wanaovusha mbolea za ruzuku kwenda nchi za nje bial vibali. Na:Denis Sinkonde Wafanyabiashara na wamakala wa uuzaji wa pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku na…

June 5, 2025, 7:10 am
Udumavu bado tatizo Ileje
Asilimia 40 ya watoto wa kitongoji cha Nkaka kijiji cha Itumba wanakabiliwa na udumavu. Na:Sikudhani Minga Halmashauri ya wilaya ya Ileje Mkoani Songwe inakabiliwa na changamoto za udumavu kwa watoto luicha ya wananchi kuzalisha mazao mbalibali ya vyakula pamoja na…

May 26, 2025, 1:13 pm
Songwe itavuka salama uchaguzi 2025
Na Denis Sinkonde Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Songwe kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Augustino Senga amesema kufuatia zoezi la kitaifa la uchaguzi mkuu linalotalajiwa kufanyika October mwaka huu ana imani Songwe itavuka salama ambapo amewataka askari…

May 30, 2024, 11:46 am
Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi
Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…

May 10, 2024, 2:49 pm
Wananchi wachimba mashimo na kujisaidia kwa kukosa vyoo
Na Denis Sinkonde, Songwe Jumla ya kaya 128 kati ya 320 katka Kijiji cha Mkutano Wilaya ya Momba mkoani Songwe hazina vyoo, huku kaya 34 pekee ndizo zenye vyoo bora sawa na asilimia 17. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa…

May 9, 2024, 7:29 am
RC Songwe awatahadharisha wazazi wanaowaozesha wanafunzi
Na Denis Sinkonde,Songwe Katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo ndoa na mimba za utotoni, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo, ametoa tahadhari kwa wazazi na walezi pamoja na wananchi kwa ujumla wilayani Ileje, mkoani humo wanaoendekeza…