May 30, 2024, 11:46 am

Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi

Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…

On air
Play internet radio

Recent posts

June 18, 2025, 3:03 pm

Ileje yajipanga kukabiliana na udumavu

Mikakati hiyo ya serikali imetajwa kuwa itasaidia kukabiliana na wimbi la udumavu,utapiamlo na ukondefu hususani kwa watoto chini ya miaka 5 Na:Joel Kibona Serikali itaendelea kuimarisha ustawi wa jamii kupitia utekelezaji wa agenda ya lishe bora kwa watoto, ili kukabiliana…

June 18, 2025, 1:17 pm

Shilingi bilioni 1.9 wakopeshwa vijana Tunduma

Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa ya asilimia ya mikopo inayotolewa na hamashauri mji Tunduma kwa lengo la kuinua uchumi wao. Na:Denis Sinkonde Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilaya ya Momba Mkoani Songwe kwa kipindi cha uongozi wa serikali ya Awamu ya…

June 11, 2025, 1:21 pm

Baraza la madiwani likivunjwa simamieni fedha ,Rc Songwe

Usimamizi wa fedha za mradi usipofuata taratibu baada ya mabazara ya madiwani kuvunjwa kutaibuka miradi mingi haitakamilika kwa wakati ukilinganisha na malengo ya serikali na kuibua hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG. Na:Denis Sinkonde Ileje.Mkuu wa Mkoa…

June 10, 2025, 3:06 pm

Sh 2.9 bilioni kujenga daraja Momba

Imeelezwa kuwa daraja hilo pindi litakapokamilika litawasidia wananchi wa halmashauri ya Momba na Tunduma kurahisisha shughuli za usafirishaji yakiwepo mazao. Na: Denis Sinkonde Momba.Serikali imeanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa mita 54 linalounganisha halamashauri ya Momba na Tunduma wilaya…

June 6, 2025, 7:31 am

Wanaovusha mbolea ya ruzuku mpakani waonywa

Mamlaka ya udhibiti wa mbolea nyanda za juu kusini TFRA yatoa tahadhari kwa wafanyabiashara wanaovusha mbolea za ruzuku kwenda nchi za nje bial vibali. Na:Denis Sinkonde Wafanyabiashara na wamakala wa uuzaji wa pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku na…

June 5, 2025, 7:10 am

Udumavu bado tatizo Ileje

Asilimia 40 ya watoto wa kitongoji cha Nkaka kijiji cha Itumba wanakabiliwa na udumavu. Na:Sikudhani Minga Halmashauri ya wilaya ya Ileje Mkoani Songwe inakabiliwa na changamoto za udumavu kwa watoto luicha ya wananchi kuzalisha mazao mbalibali ya vyakula pamoja na…

May 26, 2025, 1:13 pm

Songwe itavuka salama uchaguzi 2025

Na Denis Sinkonde Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Songwe kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Augustino Senga amesema kufuatia zoezi la kitaifa la uchaguzi mkuu linalotalajiwa kufanyika October mwaka huu ana imani Songwe itavuka salama ambapo amewataka askari…

May 30, 2024, 11:46 am

Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi

Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…

May 10, 2024, 2:49 pm

Wananchi wachimba mashimo na kujisaidia kwa kukosa vyoo

Na Denis Sinkonde, Songwe Jumla ya kaya 128 kati ya 320 katka Kijiji cha Mkutano Wilaya ya Momba mkoani Songwe hazina vyoo, huku kaya 34 pekee ndizo zenye vyoo bora sawa na asilimia 17. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa…

May 9, 2024, 7:29 am

RC Songwe awatahadharisha wazazi wanaowaozesha wanafunzi

Na Denis Sinkonde,Songwe Katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo ndoa na mimba za utotoni, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo, ametoa tahadhari kwa wazazi na walezi pamoja na wananchi kwa ujumla wilayani Ileje, mkoani humo wanaoendekeza…

Ileje FM Radio Profile

“ILEJE FM” is a community radio, variety hits radio station transmitting from ITUMBA ILEJE, SONGWE. The radio is programmed with community, well-researched information, ethical advertisements, and promotions. The station employs competent individuals who are creative and professionally dedicated to satisfying our listeners’ and advertisers’ needs in the community.

The radio is owned by ILEJE DISTRICT, registered under the Tanzania Act of Companies on 31st October 2002 with certificate of incorporation No.112581 of 31st October 2002.

The main purpose for the establishment of ILEJE FM was to air to the community the important events, occurring in the country and outside of it, as well as, education, customs, tradition, science, health, agriculture, road traffic, household knowledge, and entertainment through to traditional and modern songs, opera, drama, music among others. This satisfies the need for information sharing and talent development.

 Location

ILEJE FM is located in the Songwe region, Ileje District though its broadcasting covers areas of neighbouringregions.Rukwa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, and some parts of Northern regions of Zambia and Malawi. The maximum of listeners is 5,000,00.

Vision 

The Vision of ILEJE FM is to build community, a loyal and growing audience, and an engaged and educated citizenry by providing the highest quality of free-form programming that broadcasts entertainment, music, news, thoughts, sounds, ideas, and event listings that support free speech, diversity, and the interests of the local and global communities.

The ongoing ripple effect of sustaining ILEJE FM COMMUNITY RADIO is to expand a dedicated listener base who embrace and support ILEJE FM COMMUNITY RADIO because they feel their lives are enriched and improved, their communities strengthened, and the world is a better place.

Values

         Inclusion: We believe that the fabric of our community is stronger when all of its members have the opportunity to express their diverse interests, concerns, and points of view.

         Empowerment: We believe in providing educational opportunities that enable community members to build new skills and gain valuable experience. We promote an exchange of ideas that enriches people’s lives.

         Mutual Support: We believe in fostering connections among the people of Songwe region in order to strengthen appreciation for the community and support among neighbors. Communication and local self-sufficiency during an emergency are important in a small, remote community.

         Independence: We believe it is important that communities take responsibility for understanding the issues that affect them. Locally controlled media have the ability to provide viewpoints and information unavailable elsewhere.