Dodoma FM

Wananchi Kiteto wafanya maombi ya kuomba mvua

5 March 2025, 12:40 pm

Picha ni waumini wa dini ya kiislamu wakiwa wamekusanyika katika eneo la pamoja kwaajili ya kuomba mvua.

Hii hapa taarifa yake kitana hamisi kutoka Wilayani Kiteto.

Na Kitana Hamis.
Wananchi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara Wamefanya Dua ya kuomba Mvua baada ya kuona Hali ya ukame inazidi huku mazao yakikauka siku hadi siku.

Kitana Hamis ametuandalia taarifa kamili huu ya dua hiyo

Maombi ya kuomba mvua.