Radio Tadio

maombi

23 December 2023, 4:58 pm

Mkesha mkubwa kitaifa dua maalum kufanyika Dodoma

Mkesha mkubwa kitaifa dua maalum unatarajiwa kufanyika usiku  December 31 katika viwanja vya Nyerere square jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa…