
Dini

4 December 2023, 09:39
Mwamengo: Waislamu bebeni jukumu la malezi hakuna mtoto asiye na wazazi
Maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad Wilaya ya Kyela yamefanyika katika msikiti wa Wilaya na kuhudhuriwa na madau wa maendeleo mhandisi Baraka Mwamengo. Na Masoud Maulid Zaidi ya shilingi milioni nne zimepatikana katika harambee ya ununuzi wa kiwanja cha kujenga…

2 December 2023, 21:47
Katule: Msikae kinyonge kanisa la Moravian ni kubwa
Wahitimu wa mafunzo ya uchungaji katika chuo cha biblia cha kanisa la kiinjiri Moraviani Tanzania hapa wilayani Kyela wametakiwa kumtegemea Mungu katika kazi yao mpya ya utumishi. Na Nsangatii Mwakipesile Mahafari ya kumi na tisa ya uchungaji ya chuo cha…

23 November 2023, 17:44
Tumieni fursa vyuoni kuwa viongozi wa badae
Na Ezra Mwilwa Vijana Waliopo vyuoni wameshauriwa kujianda na masuala ya uongozi katika nyanja Mbalimbali za kijamii. Wito huo umetolewa na Mch.Agines Njeyo katika semina iliyoandaliwa na Wanafunzi wa Makanisa ya CCT Chuo kikuu Teofilo Kisanja ambapo amesema katika nyakati hizi vijana…

21 November 2023, 19:34
Askofu Panja: Tendeni mema ili mkumbukwe
Na Hobokela Lwinga Askofu mteule wa kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi mch.Robart Pangani amewataka wananchi nchini kutunza amani iliyopo kuanzia kwenye maeneo yao wanayoishi badala ya kuwa wavunjifu wa amani. Hayo ameyasema katika ibada ya msiba wa…

17 November 2023, 21:48
Mchungaji kanisa la Moravian afariki Dunia
Na Hobokela Lwinga Mchungaji wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini Magharibi ushirika wa Meta Mbeya Sifael Mwashibanda amefariki Dunia jijini Dar es salaam alikokuwa anapatiwa matibabu. Akitoa taarifa ya kifo cha mch.Sifael Mwashibanda, Katibu mkuu wa Kanisa la…

17 November 2023, 21:30
Askofu ashindwa kuchaguliwa kisa theluthi
Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kaskazini (Arusha)limefanikiwa kufanya mkutano mkuu wa kanisa “Sinodi”iliyokuwa na jukumu la kupata viongozi wapya ikiwemo nafasi ya askofu katika Jimbo hilo. Katika uchaguzi huo nafasi ya askofu imeshindikana kumpata askofu kutokana…

14 November 2023, 19:30
Wakristo watakiwa kuzalisha mali ili kujiongezea uchumi kwenye familia zao na ka…
Na Hobokela Lwinga Wakristo wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika uzalishaji mali ili kuweza kuwa mfano na ushuhuda juu ya Mungu wanayemtumikia. Wito huo umetolewa na katibu wa idara ya uwakili kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini Magharibi Mch.…

November 12, 2023, 2:04 am
kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania
Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

8 November 2023, 14:57
Mwl. Haule: Kila mtu ana wajibu wa kuwaombea viongozi wa serikali
Jamii nchini imetakiwa kuiombea serikali kuanzia ngazi ya chini hadi ya juu ili ili iendelee kuongoza nchi vizuri na amani iendelee kutawala. Na Deus Mellah Wito huo umetolewa na mwalimu wa neno la Mungu Baraka Haule wakati akizungumza na kituo…

7 November 2023, 12:25
Wanavyuo washauriwa kujiajiri na kuondokana na makundi maovu
Vijana wa rika mbalimbali wanaomaliza masomo yao kwenye vyuo tofauti nchini wametakiwa kutojiingiza katika makundi yasiyofaa kwani yanaweza kukatisha ndoto zao za baadaye. Na Deus Mellah Wito huo umetolewa na msimamizi wa miradi kanisa la Moravian jimbo la Kusini Magharibi…