Radio Tadio

Dini

2 December 2023, 21:47

Katule: Msikae kinyonge kanisa la Moravian ni kubwa

Wahitimu wa mafunzo ya uchungaji katika chuo cha biblia cha kanisa la kiinjiri Moraviani Tanzania hapa wilayani Kyela wametakiwa kumtegemea Mungu katika kazi yao mpya ya utumishi. Na Nsangatii Mwakipesile Mahafari ya kumi na tisa ya uchungaji ya chuo cha…

23 November 2023, 17:44

Tumieni fursa vyuoni kuwa viongozi wa badae

Na Ezra Mwilwa Vijana Waliopo vyuoni wameshauriwa kujianda na masuala ya uongozi katika nyanja Mbalimbali za kijamii. Wito huo umetolewa na Mch.Agines Njeyo katika semina iliyoandaliwa na Wanafunzi wa Makanisa ya CCT Chuo kikuu Teofilo Kisanja ambapo amesema katika nyakati hizi vijana…

21 November 2023, 19:34

Askofu Panja: Tendeni mema ili mkumbukwe

Na Hobokela Lwinga Askofu mteule wa kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi mch.Robart Pangani amewataka wananchi nchini kutunza amani iliyopo kuanzia kwenye maeneo yao wanayoishi  badala ya kuwa wavunjifu wa amani. Hayo ameyasema katika ibada ya msiba wa…

17 November 2023, 21:48

Mchungaji kanisa la Moravian afariki Dunia

Na Hobokela Lwinga Mchungaji wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini Magharibi ushirika wa Meta Mbeya Sifael Mwashibanda amefariki Dunia jijini Dar es salaam alikokuwa anapatiwa matibabu. Akitoa taarifa ya kifo cha mch.Sifael Mwashibanda, Katibu mkuu wa Kanisa la…

17 November 2023, 21:30

Askofu ashindwa kuchaguliwa kisa theluthi

Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kaskazini (Arusha)limefanikiwa kufanya mkutano mkuu wa kanisa “Sinodi”iliyokuwa na jukumu la kupata viongozi wapya ikiwemo nafasi ya askofu katika Jimbo hilo. Katika uchaguzi huo nafasi ya askofu imeshindikana kumpata askofu kutokana…

November 12, 2023, 2:04 am

kibonge wa Yesu kaja kivingine Tanzania

Mtumishi wa Mungu na mwimbaji wa Nyimbo za Injili Juma Kyando alimaarufu kwa Jina la Kibonge wa Yesu,ameachia Nyimbo mbili usiku wa kuamukia tarehe 11Nov 2023 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya Siku yake ya kuzaliwa na Aldo Sanga Mwanamuziki…

7 November 2023, 12:25

Wanavyuo washauriwa kujiajiri na kuondokana na makundi maovu

Vijana wa rika mbalimbali  wanaomaliza masomo yao kwenye vyuo tofauti nchini wametakiwa kutojiingiza katika makundi yasiyofaa kwani yanaweza kukatisha ndoto zao za baadaye. Na Deus Mellah Wito huo  umetolewa na msimamizi wa miradi kanisa la Moravian jimbo la Kusini Magharibi…