Dodoma FM

Yafahamu Mazingira asili ya mkoa wa Dodoma

4 March 2025, 12:15 pm

Dodoma ni eneo amblo huonekana kame sana wakati wa majira ya kiangazi .Picha na Fahari ya Dodoma.

Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika.

Na Yussuph Hassani.
Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari ya Dodoma.

Msimu wa mvua mkoa wa Dodoma hupambwa na ukijani kila mahali na kufuta ile hali ya nusu jangwa.Picha na Fahari ya Dodoma.