Dodoma FM
Dodoma FM
04/03/2025, 12:15

Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika.
Na Yussuph Hassani.
Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari ya Dodoma.
