Dodoma FM

Wazazi Mbabala watakiwa kuzingatia mahitaji ya watoto

20 February 2025, 7:45 pm

Picha ni Afisa elimu Kata ya Mbabala Mwalimu Shaban Kijoji wakati akizungumza na taswira ya habari.Picha na Alfred Bulahya.

Na Alfred Bulahya.
Wazazi katika kata ya Mbabala jijini Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia kutoa mahitaji yote ya msingi kwa watoto wao ili kuepusha tatizo la kukatisha masomo.

Wito huo umetolewa na Afisa elimu Kata ya Mbabala Mwalimu Shaban Kijoji wakati akizungumza na taswira ya habari.

Mwl Kijoji amezitaja faida zinazopatikana endapo wavulana na wasichana hawatakatisha masomo yao.

Sauti ya Mwalimu Shaban Kijoji .