Radio Tadio

Wazazi

27 December 2023, 5:48 pm

Wazazi watakiwa kuzingatia malezi ya watoto

kwa upande wake afisa elimu mkoa ameahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyojadili katika kikao hicho. Na Aisha Alim.Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika maadili mema kwa kuwaepusha na mambo ambayo hayawezi kuwajenga vyema katika makuzi yao. Hayo…