Dodoma FM

Mimba za utotoni bado ni tatizo kwa taifa

3 October 2024, 8:10 pm

Na Lilian Leopold        

Tatizo la mimba za utotoni limekuwa ni suala endelevu katika jamii nyingi nchini Tanzania.

Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma kutoka Dawati la Kijinsia Bwn. Michael Nkinda amebainisha sababu mbalilmbali zinazopelekea kuwepo kwa tatizo hilo miongoni mwa jamii wakati akizungumza na Dodoma TV.

Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma kutoka Dawati la Kijinsia Bwn. Michael Nkinda
Sauti ya Bwn. Michael Nkinda

Aidha, Bwn, Micheal amebainisha mikakati iliyowekwa ili kukabiliana na mimba za utotoni katika ngazi za kijamii, mkoa na kitaifa.

Sauti ya Bwn. Michael Nkinda

Nao baadhi ya wazazi wamesema kuwa ni vyema kupunguza majukumu ili kupata muda wa kutosha wa kuzungumza na watoto wao na kuwafundisha maadili mema.

Pichani makazi wa Dodoma akielezea maoni yake juu ya mimba za utotoni
Sauti za wananchi
Pichani makazi wa Dodoma akielezea maoni yake juu ya mimba za utoton