Radio Tadio

watoto

28 May 2026, 2:17 pm

Ni marufuku malori kubeba wanafunzi

Wakati mwingine magari hayo hutumika kubeba wanafunzi kwenda kwenye michezo na matamasha mbalimbali jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ni marufuku magari ya mizigo ikiwemo malori kutumika kubeba abiria kutokana na hatari…

25 May 2026, 5:08 pm

Mbio za hisani kuokoa maisha ya watoto wachanga

Mkoa wa Manyara unatarajia kufanya mbio za hisani za kuchangia uboreshaji wa huduma za watoto wachanga na watoto njiti  zijulikanazo kama Manyara Tanzanite Marathon zenye kauli mbiu ya “hatua moja, okoa maisha ya mtoto” zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22, 2026 katika…

16 October 2025, 8:48 am

EAGT Nazareth Stamico kuanzisha miradi ya afya na elimu

Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…

19 January 2024, 1:29 pm

Waliomteka mtoto na kudai milioni 4 watiwa mbaroni Mbogwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limejipanga kukabiliana na matukio ya ukatili kwa watoto ikiwemo ya kubakwa na kuuawa. Na Mrisho Shabani – Geita Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu watatu wilayani Mbogwe kwa tuhuma za kumteka mtoto…

10 January 2024, 00:04

Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti

Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…