watoto
25 June 2026, 14:00
Imani potofu yachangia vifo vya wagonjwa wa kifua kikuu Kasulu
Ugonjwa wa kifua kikuu bado ni moja ya changamoto za kiafya zinazokabili jamii nyingi nchini Tanzania pamoja na juhudi zinazofanywa na Serikali pamoja na wadau wa afya katika kutoa elimu na huduma za matibabu, bado baadhi ya wananchi wanaendelea kushikilia…
23 June 2026, 08:27
Watumishi wapya wa afya Kakonko watakiwa kuzingatia kanuni za kazi
Mafunzo ya ajira mpya ni muhimu kwa kuwa yanawaandaa watumishi kuanza kazi kwa uelewa sahihi, nidhamu na ufanisi unaohitajika katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Mwandishi wetu Watumishi wa ajira mpya katika kada ya afya wilayani Kakonko wametakiwa kufuata…
28 May 2026, 2:17 pm
Ni marufuku malori kubeba wanafunzi
Wakati mwingine magari hayo hutumika kubeba wanafunzi kwenda kwenye michezo na matamasha mbalimbali jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ni marufuku magari ya mizigo ikiwemo malori kutumika kubeba abiria kutokana na hatari…
25 May 2026, 5:08 pm
Mbio za hisani kuokoa maisha ya watoto wachanga
Mkoa wa Manyara unatarajia kufanya mbio za hisani za kuchangia uboreshaji wa huduma za watoto wachanga na watoto njiti zijulikanazo kama Manyara Tanzanite Marathon zenye kauli mbiu ya “hatua moja, okoa maisha ya mtoto” zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22, 2026 katika…
26 April 2026, 11:10 am
Babati TC yaibuka mshindi bonanza la miaka 62 ya Muungano
Babati TC yang’ara na kuibuka mshindi wa jumla katika Bonanza la Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika Jana kwa ngazi ya Mkoa wa Manyara katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa. Na Mzidalfa Zaid Halmashauri ya Mji…
16 October 2025, 8:48 am
EAGT Nazareth Stamico kuanzisha miradi ya afya na elimu
Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…
19 January 2024, 1:29 pm
Waliomteka mtoto na kudai milioni 4 watiwa mbaroni Mbogwe
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limejipanga kukabiliana na matukio ya ukatili kwa watoto ikiwemo ya kubakwa na kuuawa. Na Mrisho Shabani – Geita Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu watatu wilayani Mbogwe kwa tuhuma za kumteka mtoto…
19 January 2024, 13:04
Zaidi ya watoto 600 wafariki Januari hadi Desemba 2023 Kigoma
Zaidi ya watoto 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa Mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua katika kipindi cha januari hadi disemba 2023. Josephine Kiravu anasimulia taarifa ifuatayo.
10 January 2024, 00:04
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
22 December 2023, 17:03
Wazazi, walezi watakiwa kuimarisha ulinzi kwa watoto kipindi cha sikukuu
Na Orida Sayon Wito umetolewa kwa wazazi na walezi mkoani Kigoma kuimarisha ulinzi na usalama kwa watoto katika kipindi hiki cha sikukuu za Kristmas na Mwaka Mpya ili kuwalinda dhidi ya vitendo vinavyowaweka katika mazingira hatarishi. Wito huo umetolewa na…