Dodoma FM

Recent posts

28 November 2025, 3:31 pm

Wananchi Pandambili walalamikia kukosa huduma ya umeme

Ukosefu wa umeme katika kijiji hicho umekuwa ukiathiri shughuli zao, kwani hulazimika kwenda kijiji cha jirani kupata huduma mbalimbali ikiwemo huduma ya mashine kwa ajili ya kusaga unga. Na Farashuu Abdallah.Wananchi wa kijiji cha Pandambili A wilayani Kongwa mkoani Dodoma…

28 November 2025, 2:18 pm

Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa za serikali

Ni vyema wananchi wakachangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo fursa ya mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Na Mariam Matundu.Wananchi wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa tarehe 27 Novemba na Naibu waziri…

27 November 2025, 3:53 pm

Chamwino yazindua kampeni kuelekea siku 16 za kupinga ukatili

Itakumbukwa kuwa Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 kote duniani. Na Seleman Kodima.Halmashauri ya Chamwino imezindua kampeni na kutoa elimu kuelekea maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani, katika Kijiji cha Mjelo,…

27 November 2025, 3:20 pm

Gwajima atoa wito kwa wazazi usalama wa watoto mtandaoni

Wadau wa maendeleo wanaotekeleza afua za usalama wa watoto mtandaoni wameahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ili kuhakikisha watoto wanalindwa dhidi ya aina zote za ukatili, hususan ukatili wa mtandaoni. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake…

27 November 2025, 2:04 pm

Wakazi Chinugulu wataka elimu ya kuzuia tembo kuvamia mashamba

Pamoja na hayo Wananchi wa Chamwino wamesisitiza kuwa elimu ya kitaalamu kuhusu namna ya kukabiliana na tembo itasaidia kupunguza madhara na kuimarisha usalama wa jamii pamoja na mazao yao. Wananchi wa vijiji vya Chinugulu na Manda, tarafa ya Mpwayungu, Wilaya…

26 November 2025, 3:33 pm

Wananchi wahimizwa kudumisha amani

Kuwa kulinda amani ni jukumu la kila Mtanzania na ni msingi muhimu wa kuendeleza umoja. Na Anwary Shaban.Wananchi katika Jiji la Dodoma na Watanzania kwa ujumla wamehamasishwa kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi muda wote. Kauli hiyo imetolewa jijini…

26 November 2025, 3:12 pm

Wakazi wa Pandambili wakabiliwa na uhaba wa maji

Ikumbukwe kuwa Kupitia bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka 2025/26, Serikali imepanga kuimarisha miradi ya maji vijijini, kujenga mabwawa mapya, na kuongeza uwezo wa miundombinu ya maji ili kukidhi ongezeko la watu na kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu…

26 November 2025, 2:04 pm

Bodaboda si njia ya mkato kwa kila kijana kufanikiwa

Hata hivyo, sekta hii inakabiliwa na changamoto za usalama, ushindani, gharama za uendeshaji na mahitaji ya kisheria. Na Mariam Kasawa.Vijana wametakiwa kujituma katika shughuli mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi na kuacha kuamini kwamba kazi ya bodaboda ni suluhisho pekee kwa kila…

26 November 2025, 1:44 pm

Udogo wa Tenki wapelekea adha ya maji Mzula

Wameeleza kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi akina mama na kuhatarisha afya za jamii. Na Victor Chigwada.Maji ni uhai, lakini wakazi wa Kijiji cha Mzula, kata ya Muungano, Wilaya ya Chamwino, bado wanakabiliana na changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo muhimu…

25 November 2025, 3:53 pm

Zabibu tonight yaelezea maandalizi kuelekea pambano Jumamosi

Pambano hilo linatarajiwa kuchezwa novemba 29 katika viwanja vya mambo Poa. Mwandaaji wa pambano hilo Bw. Yuko Kiando ameeleza maandalizi ya pamabano hilo ambalo linatarajia kufanyika Novemba 29 huku tiketi zikipatikana barabara ya 11. Nao baadhi ya mabondia wakapata nafasi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger