Dodoma FM

Recent posts

11 December 2025, 4:53 pm

TASAF yaboresha maisha ya wakazi wa Igandu

Tofauti na hapo awali ambapo baadhi ya watoto walikaa majumbani Kwa kukosa uwezo wa kumudu kununua viafaa vya shule. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji Cha Igandu Wilaya ya Chamwino wameipongeza Serikali kupitia mfuko wa TASAF Kwa kusaidia kuboresha maisha ya…

11 December 2025, 4:23 pm

Kwanini sekta ya kilimo haikupewa kipaumbele COP 30?

Kutopewa kipaumbele na Kupuuzwa kwa sekta ya kilimo katika Mkutano wa COP30 ni kinyume na miongozo ya kimataifa, jambo linaloweza kuathiri juhudi za Afrika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mwandishi wetu.Msikilizaji, leo tunakuletea makala ambayo itaangazia Mkutano wa Kimataifa…

11 December 2025, 3:44 pm

Maafisa usafirishaji waitaka jamii kutowahusisha na vitendo vya uhalifu

Picha ni maafisa usafirishaji katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Bogwe, Wilayani Kasulu, Kigoma. Picha na LATRA. Hayo yanajiri kutokana na mitazamo tofauti katika jamii ikiwepo baadhi yao kuhusishwa na matukio ya kihalifu kwa kilekinachodaiwa maafisa hao…

11 December 2025, 3:27 pm

Ukarabati wa vyumba vya madarasa kupunguza utoro shuleni

Picha ni Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mazengo , Rehema  Nkungu katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi hiyo imefanywa na Kamati ya Uongozi wa…

10 December 2025, 4:12 pm

Tufaa latajwa kuwa zao la kimkakati Dodoma

Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa hafla fupi ya utiaji saini Mkataba wa ununuzi wa Miche ya Tufaa baina ya Mkoa wa Dodoma na Kampuni ya Tamtam Tanzania ya Mkoani Iringa katika Ukumbi wa…

10 December 2025, 3:53 pm

Vijana waomba elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii

Ili kupunguza athari zitokanazo na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii wameshauri ni vyema elimu ikaotolewa ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza. Picha na Mtandao. Asilimia 95% ya vijana wenye umri wa miaka 13–17 hutumia mitandao ya kijamii kama TikTok, Instagram,…

10 December 2025, 3:36 pm

Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa

Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…

8 December 2025, 5:02 pm

Viongozi wapya wataja vipaumbele kuboresha huduma kwa wananchi

Picha ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula wakati wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ikumbukwe kuwa, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, Madiwani…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger