Dodoma FM
Dodoma FM
5 January 2026, 4:46 pm
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…
5 January 2026, 4:19 pm
Sera hiyo inasisitiza ushirikiano kati ya serikali, jamii na wazazi katika kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa elimu, ikiwemo kuhakikisha watoto wanajiandikisha na kuhudhuria shule ili kupata maarifa na stadi muhimu kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Na Lilian Leopold.…
2 January 2026, 3:38 pm
“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…
24 December 2025, 3:47 pm
Maadhimisho hayo yaliambatana na utoaji wa elimu ya lishe, ushauri wa afya, pamoja na upimaji wa afya kwa watoto. Na Anwary Shaban.Diwani wa Kata Mnadani, Mugendi Karenge amewataka wananchi wa Mtaa wa Ndachi kuzingatia masuala ya afya na lishe bora…
24 December 2025, 3:17 pm
Usomaji wa vitabu kwa vijana unatajwa pia kama njia moja wapo ya kujiongezea maarifa. Na Bennard Komba.Ushauri umetolewa kwa vijana kuhakikisha wanaweka utaratibu wa kusoma vitabu mbalimbali ili kubadili fikra na kujiongezea maarifa yatakayowaongoza katika mafanikio. Pamela Jerome ni kijana…
24 December 2025, 2:57 pm
Wananchi wamesema kuwa hali hiyo inachangiwa na kuchelewa kwa Mvua pamoja na miundombinu mibovu ya barabara. Na Stephen NoelWANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa mbalimbali huku msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka…
23 December 2025, 5:04 pm
Watumishi kupinga kutokulipwa stahili zao na waajiri, ikiwemo mishahara, stahili za uhamisho pamoja na posho mbalimbali za kisheria zinazotokana na utekelezaji wa majukumu yao. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma imetoa ufafanuzi kuhusu rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na…
23 December 2025, 4:47 pm
Wameweza kukuza ushiriki wa wanafunzi wenye ulemavu kwa kuwapa kipaumbele . Na Farashuu Abdallah. Katika jitihada za kuwezesha kundi la watu wenye mahitaji maalum kwenye fursa mbalimbali za kiuchumi chuo cha ufundi Veta Jijini Dodoma kimeeleza mchango wake kwa wanafunzi…
23 December 2025, 4:33 pm
Wananchi nao wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kulinda mazingira kwa kupunguza uchafuzi, kutumia nishati safi, kuhifadhi vyanzo vya maji, pamoja na kuzingatia mitindo ya maisha yenye kuimarisha afya kama lishe bora na mazoezi ya mara kwa mara. Na Daniel Njau Imeelezwa…
23 December 2025, 4:18 pm
Kwa mujibu wa sera ya afya ya mwaka 2007 Serikali Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-