Dodoma FM

Recent posts

23 January 2026, 2:26 pm

Zaidi ya watoto 22 wenye mahitaji maalum wabainishwa Kizota

Hatua hiyo inajiri ikiwa ni siku ya pili tangu Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuzindua rasmi zoezi la ubainishaji wa watoto wenye mahitaji maalum, zoezi inalotekelezwa ikiwa ni sehemu ya sera ya serikali kuhakikisha watoto wote wanajumuishwa katika mfumo wa…

23 January 2026, 11:04 am

Chamwino wapongeza ujenzi wa jengo la mama na mtoto

Picha ni wadau wa afya katika utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa vituo vya afya katika mikoa ya kanda ya kati. Picha na Wizara ya Afya. Serikali imeendelea kuwekeza katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya afya, kuongeza upatikanaji wa…

23 January 2026, 9:55 am

Askofu Kingamkono awahimiza waumini kutenda mema

Miongoni mwa waliotoa salamu za rambirambi ni pamoja na Ezekia Chibulenje, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chilonwa, pamoja na George Malima Lubeleje, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa, ambao kwa pamoja wamesema marehemu alijipambanua kwa maadili mema, uwajibikaji na uongozi…

22 January 2026, 5:44 pm

DMG yaandaa kampeni ya Onesha Upendo

Umekuwa muendelezo wa kampeni ya Onesha Upendo inayoratibiwa na kituo cha Dodoma Media Group katika kugusa makundi mbalimbali katika jamii ambapo kwa mwaka huu wakitarajiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo hicho. Na Anwary Shabani. Kupitia kampeni ya Onesha…

22 January 2026, 5:25 pm

Dodoma yabainisha watoto wenye mahitaji maalum

Ubainishaji wa mapema utasaidia serikali na wadau kupanga mikakati madhubuti ya utoaji wa huduma kwa watoto wenye mahitaji maalum. Na Lilian Leopold. Wazazi na walimu wametakiwa kushirikiana katika kuwaibua watoto wenye mahitaji maalum, kwa lengo la kuwatambua watoto hao wenye…

22 January 2026, 5:14 pm

TYSPU yaboresha uzalishaji wa alizeti Dodoma

Mradi huo unawezeshwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Na Lilian Leopold. Kupitia mradi wa Tanzania Youth and Smallholder Productivity Upgrade (TYSPU), jumla ya mashamba darasa nane ya zao la alizeti yanayosimamiwa na Halmashauri ya Jiji…

21 January 2026, 3:54 pm

Kaimu Mkurugenzi Bodi ya Waandishi afanya ziara Dodoma

Na Mariam Kasawa. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Bw. Patric Kipangula, Januari 20, 2026, alifanya ziara ya kutembelea baadhi ya vituo vya redio na runinga jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kukagua utekelezaji…

21 January 2026, 3:29 pm

Ukame waathiri mifugo Kiteto, wafugaji waomba msaada

Hali hiyo imewalazimu wafugaji kuanza kutumia njia mbadala ili kunusuru mifugo yao, huku wakikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa pumba na malisho. Na Kitana Hamis. Ukame unaoendelea wilayani Kiteto mkoani Manyara umeendelea kuwaathiri wafugaji, baada ya mifugo kukosa chakula na…

21 January 2026, 2:59 pm

Wananchi Msanga walalamikia magari yanayobeba mchanga

Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa  mbali na mwendo mkali, magari hayo pia yamekuwa chanzo cha vumbi ambalo huathiri biashara za wananchi . Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Msanga wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia magari yanayobeba mchanga kutembea kwa mwendo…

21 January 2026, 2:40 pm

Vijana wahimizwa kujiunga na VETA na kuachana na mitazamo hasi

Picha ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA CPA Antony Kasore akiongea katika mkutano na waandishi wa habari. Picha na Dodoma FM. Mnamo mwaka 2016 takwimu za Umoja wa Mataifa zilionesha kuwa uchumi wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger