Dodoma FM
Dodoma FM
24 May 2021, 13:54
Na;Mindi Joseph . Uharibifu wa mazingira nchini umetajwa kuchangia kuongezeka kwa mabadiliko ya tabia nchi hali ambayo imepelekea kiwango cha maji kuzidi kuongezeka Nchini Tanzania. Akizungumza jijini Dodoma leo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Selemani Said Jafo…
24 May 2021, 13:29
Na; Victor Chigwada Ukosefu wa elimu na vifaa vya kuchimbia madini ya chumvi na chokaa ni sababu kubwa inayo rudisha nyuma shughuli za uchimbaji. Hayo yamesemwa na baadhi ya wananchi wanaojihusisha na uchimbaji wamadini hayo waliopo mtaa wa Chitela kata…
24 May 2021, 11:58
Na; Benard Filbert. Kata ya Matumbulu jijini Dodoma inakabiliwa na ubovu wa barabara katika baadhi ya maeneo yake hali inayochelewesha zoezi la uwekaji nguzo za umeme. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa mtaa wa Mkombozi Bw. Haruni Nyakapara wakati akizungumza na…
24 May 2021, 10:16
Na; Benjamin Jackson. Wakazi wa kata ya Makulu Jijini Dodoma wamelalamikia eneo hilo kukumbwa na wimbi la wizi hali inayopelekea wananchi kukosa amani katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema tatizo la wizi katika eneo hilo limekuwepo…
21 May 2021, 13:50
Na; Thadey Tesha Ukosefu wa elimu juu ya umuhimu wa vyeti vya kuzaliwa umetajwa kama miongoni mwa sababu zinazowafanya wazazi wengi kutofuatilia upatikanaji wa vyeti hivyo. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi jijini Dodoma wakati wakizungumza na Taswira ya Habari…
21 May 2021, 13:27
Na; Benard Filbert Ukosefu wa huduma ya Zahanati katika Kijiji cha Chitabuli Wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wananchi hivyo kusababisha wajawazito kujifungulia njiani. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu…
21 May 2021, 12:43
Na; Yussuph Hans Katika kuhakikisha inawakomboa wanawake wanaobebeshwa mimba na kutelekezwa, Serikali imeahidi kusimamia ipasavyo sheria ya mtoto ya mwaka 2009 inayotoa maelekezo juu ya matunzo ya mtoto kwa wazazi wote wawili. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…
21 May 2021, 12:29
Na; Shani Nicolous Wito umetolewa kwa madereva wa vyombo vya moto kuzingatia maadili ya miziki inayopigwa pamoja na video katika vyombo vyao vya usafiri ili kutokuharibu mila na desturi za kitanzania. Wito huo umetolewa na Bw. Leo Ngowi ambaye Kaimu…
21 May 2021, 12:15
Na; Thadey Tesha Vijana jijini Dodoma wamezitaka taasisi za maendeleo ya vijana kuwapa elimu na kuwahamasisha kuchukua mkopo wa asilimia mbili unaotolewa na Halmashauri kwa ajili ya kuwawezesha kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Dodoma fm vijana hao wamesema wanashindwa kunufaika na…
21 May 2021, 10:21
Na; Benard Filbert Wakazi wa mtaa wa Swaswa Kata ya Ipagala jijini Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa wakandarasi wa umeme ambao wamekuwa wakiweka nguzo kwa ajili ya usambazaji umeme wa REA awamu ya tatu. Hayo yemesemwa na mwenyekiti wa mtaa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-