Dodoma FM

Recent posts

7 June 2021, 2:20 pm

Serikali yakiri kutoa Elimu bila Ada na sio Elimu bure

Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inatoa Elimu bila Ada sio Elimu bure hivyo Wazazi washiriki kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya Shule. Hayo yamebainishwa hii leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za…

7 June 2021, 1:02 pm

Waziri wa mawasiliano awataka watoa huduma za mawasiliano kuboresha huduma zao

Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…

4 June 2021, 2:06 pm

Ole Sabaya afikishwa mahakamani

Leo Juni 4, 2021 aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kujibu tuhuma zinazowakabili. Hayo yanajiri ikiwa ni siku chache zimepita baada ya Rais wa Jamhuri…

4 June 2021, 1:23 pm

Waziri Awesso afanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilaya ya Kongwa

Na; Selemani Juma. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameagiza kuondolewa katika wizara hiyo mhandisi wa maji wa Wakala wa Maji Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Hanang, Herbert Kijazi baada ya kuisababishia hasara Serikali ya Shilingi milion 609. Hatua ya hiyo imekuja…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger