Dodoma FM
Dodoma FM
06/03/2026, 12:26

Ni lazima wanawake kujikita katika malezi ya watoto bila kujali changamoto zao .
Na Steven Noel.
Kuelekea Siku ya kilele cha wanawake Duniani wanawake wa mamlaka ya maji Katika Mji wa Mpwapwa Watoa msaada wa vifaa vya shule Katika kituo cha watoto wenye mahitaji Maluum Chazungwa .
Wakiongea mala baada ya kutoa msaada huo mwenyekiti wa wanawake hao bi Jomila Mwelela amesema.