Dodoma FM

Uhuru wa kuzungumzia masuala ya uzazi wa mpango kwa vijana

27 January 2026, 5:36 pm

Je vijana wana uhuru wa kuzungumzia masuala ya uzazi wa mpango. Picha na Michuzi blog.

Mariam Matundu amezungumza na vijana ili kufahamu uhuru wao katika kuzungumzia masuala ya uzazi wa mpango.

Na Mariam Matundu.

Leo katika Sanuka tunaangazia uhuru wa kuzungumzia masuala ya uzazi wa mpango hususan kwa vijana .

Packeg